Skip to main content

Posts

Showing posts with the label ReubenHabariTz

MAWAKILI MTAJIFICHA WAPI? OFISI ZA PRIME ATTONEY ZAVAMIWA

Wiki mbili baada ya ofisi za mawakili ya Prime Attorneys jijini Dar es Salaam kuvamiwa usiku wa manane na watu wasiojulikana, ofisi nyingine ya mawakili imefanyiwa uhalifu wa aina hiyo mjini hapa. Katika uvamizi wa ofisi za mawakili za Prime Attoneys ambao pia wanamteta mfanyabiashara maarufu Yusuf Manji, wezi waliiba sefu ya fedha na nyaraka baada ya kumfunga kamba mlinzi. Mmoja wa mawakili wa kampuni hiyo, Hudson Ndusyepo alisema katika uvamizi wa ofisi hizo zilizopo kwenye jengo la Prime House, Mtaa wa Tambaza, Upanga nyaraka za mfanyabiashara huyo hazikuibwa. Wakati uvamizi wa ofisi hizo ukiacha utata, watu wasiojulikana walivunja na kuiba mali mbalimbali katika ofisi mbili za mawakili jijini Arusha tukio ambalo limeibua hali ya hofu na sintofahamu kwa baadhi ya mawakili. Ofisi zilizovamiwa ni za Ideal Chambers iliyopo jengo la Blue Rock na Equality Attorneys yenye maskani yake katika jengo la Said Kondo zote zikiwa katikati ya jiji. Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Charles Mk...

HEALING OUR BODY

❄🌹MEDICAL FITNESS_            *BLOOD PRESSURE*           ---------- 120/80 --  Normal 130/85 --Normal  (Control) 140/90 --  High 150/95 --  V.High ----------------------------            *PULSE*           -------- 72  per minute (standard) 60 --- 80 p.m. (Normal) 40 -- 180  p.m.(abnormal) ----------------------------           *TEMPERATURE*           ----------------- 98.4 F    (Normal) 99.0 F Above  (Fever) *BLOOD GROUP COMPATIBILITY* What’s Your Type and how common is it? *O+*       1 in 3        37.4% (Most common) *A+*     ...

LIFAHAMU TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME NA CHANZO CHAKE

👑... LIFAHAMU TATIZO LA #UKOSEFU WA NGUVU ZA #KIUME NA CHANZO CHAKE. Leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia tatizo la kupungua nguvu za kiume limekuwa kubwa sana, siyo Tanzania tu, bali duniani kote. Jambo muhimu analopaswa mwanaume yeyote kufahamu ni kwamba, kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa, ni dalili ya ugonjwa. Hii ina maana kuna dosari au udhaifu wa kiutendaji ndani ya mwili wake.  Kuna sababu nyingi mno zinazosababisha mwanaume apungue nguvu za kiume. Mtu aweza kujiuliza kwa nini kuwe na sababu nyingi namna hiyo? Kwani nguvu za kiume ni nini? Nguvu za kiume ni jina la jumla lenye vipengele vingi ndani yake ikiwa ni pamoja na hamu ya mapenzi; kusimama kwa uume barabara; kuchelewa kufika kileleni kiasi cha kufurahia tendo la ndoa; uwezo wa kurudia tendo la ndoa; pumzi, wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda tendo  lenyewe. Ni viungo gani vinavyohusika na nguvu za kiume? Nguvu za kiume ni tukio pana sana lenye kuhusisha viungo na vitu vingi nd...

JE WAJUA KUWA TENDO LA NDOA NI TIBA NA DAWA KIAFYA?

❤FAIDA 15 ZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA❤ Tendo la ndoa tangu uumbaji lililengwa kati ya mwanaume na mwanamke waliofunga ndoa, sasa hivi dunia imebadilika sana kiasi kwamba tendo hili sio lazima kuliita la ndoa tena. watu wengi wamekua wakishiriki tendo la ndoa bila kufungua ndoa .. vile vile kutokujua faida zake.lakini tendo la ndoa lina faida nyingi sana kiafya na kisaikolojia. Hivyo kama wewe una mke, mchumba au mpenzi halafu kila siku unampa sababu za kutoshiriki basi huenda hujui faida zake. hebu tuzisome kama ifuatavyo.. 👉🏿 HUONDOA MSONGO WA MAWAZO;     kipindi cha tendo la ndoa mwili hutoa hormone inayoitwa kitaalamu kama endophirn ambayo huleta furaha.kila aliyeshiriki tendo la ndoa atakua shahidi kama una msongo wa mawazo sana ukaenda kufanya tendo hili utajikuta unajisikia vizuri sana, 👉🏿 HUPUNGUZA PRESHA YA DAMU;      wakati wa tendo la ndoa damu inapita kwa kasi sana kwenye mishipa ya damu n...

URUSI WAIONYA MAREKANI KUHUSU SHAMBULIO LA NDEGE YAKE YA KIVITA

Urusi imeonya kuwa itashambulia ndege za muungano unaoongozwa na Marekani nchini Syria iwapo ndege hizo zitapaa katika maeneo ambayo jeshi lake linahudumu. Hii ni baada ya ndege ya kivita ya Marekani kutungua ndege ya kivita ya serikali ya Syria. Muungano huo unaoongozwa na Marekani ulisema ndege moja yake ilitungua ndege ya Syria aina ya Su-22 baada ya ndege hiyo kuangushia mabomu wapiganaji wanaoungwa mkono na Marekani katika mkoa wa Raqqa, Jumapili. Urusi, mshirika mkuu wa serikali ya Syria, imesema pia kwamba itakatiza mawasiliano yote na Marekani ambayo lengo lake huwa kuzuia ajali angani. Syria imeshutumu shambulio hilo la Marekani na kusema litasababisha "matokeo mabaya sana". "Ndege yoyote, ikiwa ni pamoja na ndege za kawaida na ndege zisizokuwa na rubani ambazo ni za muungano wa kimataifa unaohudumu magharibi mwa mto Euphrates, zitafuatiliwa na majeshi ya kukabiliana na ndege angani na ardhini na zitachukuliwa kama kitu kinachofaa kushambuliwa," wizar...

JE WAZIJUA DALILI ZA WATU WASIOPENDA MAENDELEO YAKO?

*DALILI 10 KUWA WEWE NI MVIVU* *1. Uko busy sana lakini "For Nothing"* Ikifika jioni unajikuta umechoka sana. Lakini ukijitafakari tangu asubuhi huna cha maana ulichokifanya. Na tangu asubuhi ulikua " bize" sana. Huenda ulishinda Whatsapp, Facebook, Instagram, etc una"post" na ku"like" tu. *2 Una kazi nyingi sana Jumapili* Wakati Jumapili ikiwa ni siku ya mapumziko kwa watu wengi ili waianze wiki inayofuata wakiwa fresh, kwa mtu mvivu ni tofauti. Atakuta mrundikano wa kazi zote zinatakiwa kufanyika Jumapili. *3 Kuna kitu kinakuambia kuwa unajirudisha nyuma mwenyewe* Kama unahisi kila muda unajilaumu, kuwa why hukufanya hiki, why hukufanya kile, ni nini kimetokea? Imekuaje? Na kuanza kujilaumu mwenyewe kwa uzembe huo, basi jua kuwa wewe ni *Mvivu*. *4 Una sababu zaidi ya 76 za kutofanya mazoezi* Unajua kuwa mazoezi ni muhimu kwa ajili ya afya yako, lakini wewe mwenyewe unajipa "vijisababu" vingi sana vya kuacha mazoezi. Hii ni d...

Lijue tatizo la Ugumba kwa akina mama

Ugumba wa mwanamke unasababishwa na nini? Ugumba wa mwanamke ni hali ya mwanamke kushindwa kupata mimba. Kama kwa wanaume kuna mambo mengi yanayoweza kusababisha ugumba wa wanawake. Ili mwanamke aweze kupata mimba, vitu vingi lazima vitokee. Lazima yai lipevushwe, lazima yai lii ngie kwenye mrija wa kupitisha yai ambapo mimba hutungwa, tena lazima yai lililorutubishwa lifikie kwenye mfuko wa mimba na mwishoni lazima utando ndani ya mfuko wa uzazi uandaliwe. Endapo yoyote kati ya hali hizi hazitafikiwa kwa sababu fulani, mimba haiwezi kutunga. Sababu za kutopevuka yai mara nyingi ni mfadhaiko wa kiakili na kisaikologia na sababu za kuziba mrija wa kupitisha yai mara nyingi ni magonjwa ya zinaa. Wanawake wengine wamepata ugumba kutokana na kujaribu kutoa mimba, matokeo yake wameziharibu kabisa sehemu za ndani za viungo vya uzazi. Bahati mbaya, hali nyingi katika hizi haziwezi kurekebishwa na wanawake wanabaki wagumba wa kudumu. Kuna mambo mengine yanayosababisha ugumba wa muda. Mambo ...

JE WALIJUA TATIZO LA FIBROIDS KWA AKINA MAMA?

TATIZO LA UVIMBE KWENYE UZAZI(FIBROIDS)NI HATARI KWA AKINA MAMA Uvimbe Kwenye Uzazi Mahiri Kama Fibroids. Inasemekana Kati ya 20% hadi 50% ya wanawake walio katika umri wa kuzaa,miaka 30 hadi 50,wana Fibroids. Fibroids ni nivimbe ambazo hujishikiza katika kuta za mfuko wa Uzazi,ndani na nje ya mfuko wa uzazi au kwenye Ovari,Vimbe hizo hukuwa na kuwa na ukubwa tofauti tofauti,unaweza kuwa mdogo kama haragwe au kufikia ukubwa wa tikiti maji. Chanzo Cha Fibroids Sababu hasa za kuota kwa fibroids katika viungo vya uzazi vya mwanamke bado hazieleweki vizuri na inaaminika kwamba kila uvimbe wa fibroid unatokana na seli ya msuli wa uterus ambayo huwa na tabia ya tofauti na seli nyingine na hivo hukuwa kwa haraka haraka ikichangiwa na uwepo wa homoni ya estrogen. Wanawake wanaokaribia kufikia ukomo wa kupata siku zao za mwezi wanaonekana kuwa kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata fibroids kwa sababu ya kuwa wameishi na homoni ya estrogen kwa muda mrefu zaidi. Wanawake wenye asili ya m...

Fahamu chanzo kidogo cha kiharusi

⛔ MUHIMU SANA KWA MAISHA YAKO ⛔ KWA NINI KIHARUSI MARA NYINGI HUTOKEA BAFUNI AU 🚾CHOONI ? Nawashauri watu msioshe kichwa na nywele mwanzo mnapo anza 🚿kuoga! Ni makosa makubwa haya, hii inasababisha kubadilisha hali ya ujoto katika mwili wako haraka sana (na miili yetu ina Damu ya ♨moto) na hivi  kufanya mishipa ya Damu inayopeleka kwenye ubongo kuchanika na kupasuka na inahatarisha kwa binaadamu kupata kiharusi kwa haraka sana. Njia ya kweli ya mtu kuoga ni kuanza kutia maji katika mwili au miguu kwanza kabla ya kichwa ili kuweza kuupa mwili uzowefu na kufanya usawa katika ujoto wa Damu. Sambaza kwa wote uwapendao ili InshaAllah kunusurisha binaadamu kwa maradhi haya mabaya.

AINA 9 ZA KIFUNGUA KINYWA ZINAZOSAIDIA KUPUNGUZA UZITO

 Pengine ulikuwa hujawahi kusikia au kufahamu kama unaweza kupunguza uzito bila hata kutumia madawa ya Hospitali. Zifuatazo ni dondoo kuhusiana na kupunguza uzito. 1.Juisi ya  mchanganyiko wa ndizi na mizabibu. Kifungua kinywa hiki kilaini kinawafaa wote akina mama na akina baba ambao wana tatizo la uzito uliopita kiasi, kinywaji hiki kitakusaidia kupunguza uzito kwa mda mfupi. Juisi hii ni rahisi kuiandaa nyumbani mda wa asubuhi maana haihiyaji gharama kubwa ya uandaaji. Kifungua kinywa hiki kina virutubisho vya afya kama vile nyuzinyuzi(fiber), Vitamin A&C, Kabohaidreti, Kalsiamu, Sodiamu, Protini na madini ya Chuma. 2. Mchanganyiko laini wa juisi ya komamanga(pomegranate) na tunda nyanya(strawberry). Tunda nyanya na komamanga yote ni matunda ya msimu hivyo mda wake ukifika inatakiwa tuyatumie sana mda wa asubuhi kwa kutengeneza juisi ya matunda haya kwa ajili ya kupunguza uzito. Matunda yote haya yana viini lishe ambavyo vina uwezo wa kukinga seli za ...

Trump on the Move

Shouting Heard After White House Press Briefing Opposing Views 16 May. 11:00 Tensions at the White House are seemingly at an all time high, as journalists reported hearing shouting from staffers after a short press briefing. Reporters at the White House said they could hear what sounded like shouting coming from the Cabinet Room where Press Secretary Sean Spicer, chief White House counsel Steve Bannon, Deputy White House Press Secretary Sarah Huckabee Sanders and White House Communications Director Mike Dubke convened following a press briefing, BuzzFeed News reported. "WH comms staffers just put the TVs on super loud after we could hear yelling coming from room w/ Bannon, Spicer, Sanders," tweeted White House correspondent Adrian Carrasquillo. The press briefing took place shortly after the Washington Post reported that President Donald Trump revealed highly classified information to Russian officials regarding the Islamic State. National Security Adviser H.R. McMast...

Trump on the Move

Shouting Heard After White House Press Briefing Opposing Views 16 May. 11:00 Tensions at the White House are seemingly at an all time high, as journalists reported hearing shouting from staffers after a short press briefing. Reporters at the White House said they could hear what sounded like shouting coming from the Cabinet Room where Press Secretary Sean Spicer, chief White House counsel Steve Bannon, Deputy White House Press Secretary Sarah Huckabee Sanders and White House Communications Director Mike Dubke convened following a press briefing, BuzzFeed News reported. "WH comms staffers just put the TVs on super loud after we could hear yelling coming from room w/ Bannon, Spicer, Sanders," tweeted White House correspondent Adrian Carrasquillo. The press briefing took place shortly after the Washington Post reported that President Donald Trump revealed highly classified information to Russian officials regarding the Islamic State. National Security Adviser H.R. McMast...

HEALTHY FOODS

*HEALTH BENEFITS OF FRUITS AND VEGETABLES.* *BANANAS* 🍌🍌🍌🍌🍌 •Protect your heart. •Strengthen bones. •Control blood pressure •Block diarrhea. *BEANS* 🥓🥓🥓🥓🥓 •Prevent constipation. •Help hemorrhoids. •Lower cholesterol. •Combat cancer. •Stabilize blood sugar. *BROCCOLI* •Strengthens. •Saves eyesight. •Combats cancer. •Protects your heart. •Controls blood pressure. *CABBAGE* •Combats cancer. •Prevents constipation. •Promotes weight loss. •Protects your heart. •Helps hemorrhoids. *CARROTS* 🥕🥕🥕🥕🥕 •Save eyesight. •Protect your heart. •Prevent constipation. •Combat cancer. •Promote weight loss. *CAULIFLOWER* 🌼🌼🌼🌼🌼 •Protects against Prostate Cancer. •Combats Breast Cancer. •Strengthens bones. •Banishes bruises. •Guards against heart disease. *GARLIC* •Lowers cholesterol. •Controls blood pressure. •Combats cancer. •kills bacteria. •Fights fungus. *GRAPEFRUIT* •Protects against heart attacks •Promotes Weight loss •Helps ...

Tambua Vitu Nane Vinavyoharibu Ubongo Wa Binadamu

Je wajua kuwa kuna vitu nane vinavyoharibu uwezo wa ubongo wa binadamu? Je kuna mda unajisikia kama ubongo wako umeumia au umeboreka?  Kama umejikuta ukiwa katika hali hii na ukaona kuna vitu vingine vya muhimu huvikumbuki kwa urahisi zaidi tena ambavyo umevifanya wewe mwenyewe ujue tayari umeshaanza kupata tatizo la mtindio wa ubongo. Tatizo hili linasababishwa na mambo ambayo tunayafanya kila siku ndio yanayouharibu uwezo wa ubongo wetu. Matumizi ya simu au kompyuta yaliyopitiliza.  Kutumia mda mwingi ukiwa unatumia simu mara facebook au Instagram huwa inachukua umakini mkubwa sana ili kutazama picha na video mbalimbali za marafiki na wengine wengi na baadae unajikuta ubongo wako umechoka kwa kuwa umetumika sana bila kuwa na kiasi na baadae unapoteza uwezo wa kufikiria haraka kwa mambo fulani yanayohitajika yafanywe kwa umakini mkubwa zaidi. 2.   Matumizi ya vyombo vingi vya habari. Hii iko sawa na matumizi ya simu au kompyuta yaliyopitiliza, ...

Je wazijua aina kumi na saba za vyakula zinazopunguza sumu mwilini?

Kuna mahusiano makubwa sana kati ya miili yetu na ubongo au mfumo wa fahamu. Jinsi mwili ulivyo na unavyofanya kazi ni kwa sababu tu ya ishara za ubongo wetu kufanya kazi. Na ili ubongo ufanye kazi yake vizuri ni lazima tuwe na afya bora, maisha ya afya sio tu kwa afya ya mwonekano bali pia katika afya ya ubongo. Na hii inawezekana kwa kuwa mbali na vitu au vyanzo vya sumu na miale mbalimbali lakini pia na uchafu ambao huifanya miili ichoke tu pasipo sababu na kujisikia kukerwa sana.  Kuna vyakula vingi vya kuleta afya na vyakula hivyo vipo katika mazingira yetu tunayoishi, vyakula hivyo hufanya kazi ya kupunguza sumu na kumaliza kabisa sumu mwilini. Tangawizi (Ginger) Tangawizi inatumika hasa kwenye chakula na dawa tangu miongo mingi iliyopita na bado inaaminiwa ni moja ya kiuongo chenye faida au mzizi bora wenye faida kwenye mwili wa biladamu. Tangawizi hutumika kutoa sumu mwilini kutokana na maji machafu uliyokunywa au chakula kichafu na husafisha mpaka kwenye ...

Rais wa Ufilipino Duterte amewaonya Trump na Kim Jong-un kuwa wanataka kuangamiza Dunia

Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amemtumia onyo kali rais wa Korea Kaskazini na kumuonya vikali Rais Donald Trump. Rais Duterte ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mashariki mwa Bara la Asia (Association of Southern East Asian Nations- ASEAN) alimpigia simu Rais Donald Trump mapema siku ya jumamosi jana jioni . Alisikika kwa uoga wake wa uwezekqno mkubwa wa kuweza kutokea vita ya nyuklia na hasa nchi yake ikiwa karibu sana na hizo nchi mbili zenye mzozo . Rais Duterte alisema kwa namna hiyo basi watakuwa wahanga wakubwa kama vita hiyo itatokea , aliongeza na kusema kuwa na vita ni lqzima mmojq wao atakosea na kuweza kuishambulia mpaka nchi yake na kwa namna yoyote ile wanaweza kuleta majanga ma kubwa hasa Catastrophe. Rais Duterte alisema ni bora vita hiyo isitokee na hata kama ikitokea alimwambia Donald Trump asiichezee mikononi mwake au nchini mwake Trump.Maana ...

US President Donald Trump he is not ready to fight

Sir Trump REFUSES to rule out WAR with North Korea as he praises China for pressuring Kim express.co.uk Apr 30, 2017 6:05 AM PRESIDENT Trump has refused to rule out the possibility of a military response to North Korea’s ongoing threats and insisted he “will not be happy” if Kim Jong-un conducts another missile test. Trump praised Chinese president Xi Jinping as he reiterated the prospect of war with North Korea Pyongyang conducted  another missile test early on Saturday morning in clear defiance of the international community’s warnings after Trump said a “major, major conflict” with North Korea is possible, on Thursday. The launch of the missile, which reportedly broke into pieces shortly after it was fired, marks North Korea’s fourth successive failed missile test, but fears are still looming in regards to Kim Jong-un’s nuclear capability. Shortly after the hermit kingdom’s launch, the US President tweeted: "North K...

Afya ya ubongo wa binadamu

Habari wapendwa, ``` Kumekuwepo na tatizo la vifo vya ghafla sana tena kwa watu ambao wana afya njema na hii inatokana na kuamka ghafla usiku ambapo ubongo hukosa damu ya kutosha.``` _ Unapoamka katikati ya usiku kwenda kujisaidia haja ndogo mfumo wa damu unakuwa umebadilika kwa sababu kuamka ghafla kuna kuwa hakuna mzunguko wa kutosha wa damu kwenye ubongo unaosababisha moyo kushindwa kufanya kazi kutokana na ukosefu wa damu ._ * USHAURI :* * Tumia dakika 3 na nusu kufanya yafuatayo :-* *1. Unapoamka usingizini lala kitandani kwa nusu dakika .* *2. Kaa kitandani kwa takribani nusu dakika .* *3. Shusha miguu , kaa pembeni ya kitanda takribani nusu dakika .* Baada ya dakika 3 na nusu hutakuwa na tatizo la ukosefu wa damu kwenye ubongo na moyo kushindwa kufanya kazi , hivyo inapunguza uwezekano wa vifo vya ghafla na kuanguka ghafla . ```Shirikisha marafiki na jamaa.``` *...