Skip to main content

Posts

Showing posts from February, 2018

Ajali mbaya ya treni Uvinza Kigoma

Treni ya abiria imepata ajali mbaya . Treni ya abiria iliyokuwa ikisafiri kutoka Tabora kwenda Kigoma imeanguka mchana huu kati ya stesheni ya Malagarasi na Uvinza, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma Ferdinand Mtui amethibitisha. Hadi sasa hakuna kifo kilichothibitishwa wala idadi ya majeruhi, kamanda huyo ameahidi kutoa taarifa zaidi baadaye baada ya kufika eneo la tukio. Kwa mujibu wa shuhuda wetu wa kulunzifikra blog  ajali hiyo imetokea mchana huu Februari 28, 2018, baada ya mabehewa mawili ya mbele na kichwa chake kuacha njia na kuanguka.

Namna ya kutunza nywele zenye mba

1. Kwanza kabisa unatakiwa kuosha nywele zako vizuri kwa kutumia shampoo ambayo imetengenezwa kwa ajili ya natural hair (nywele asili) au kama utatumia shampoo iliyotengenezwa kwa ajili ya nywele zenye dawa basi jaribu kutumia shampoo yenye conditioner. Hii itasaidia nywele zako kuwa laini na kuzuia zisiwe kavu baada ya kuziosha. 2. Pili ni kupaka mafuta nywele zako, zifanye nywele zako zivutie kwa kuzipaka mafuta ya maji kama vile mafuta ya nazi, olive oil, jojoba oil au castor oil kwasababu mafuta haya hulainisha ngozi ya kichwa, kufanya nywele zikue vizuri na kuzuia mba. Mafuta ya mgando hutengeneza mba kwenye nywele za asili kwa urahisi sana tofauti na nywele zenye dawa. 3. Pia usisahau kuzifanyia steaming nywele zako kwa mwezi hata mara 2, tumia steaming products kwa ajili ya natural hair au fanya steaming ya yai ni nzuri sana kwa kurutubisha nywele za asili. Osha nywele zako na shampoo kisha koroga yai na paka kichwani kwenye ngozi, Vaa kofia ya plastic kwa dakika 45, kisha osh

Habari za Michezo Hizi Hapa

Mambo vipi watu wangu wa nguvu! Nakuletea highlight ya mchezo,wa jana kwa timu ya Man United dhidi ya Sevilla ambapo Man United walikuwa ugenini walipambana na kutoka kwa matokeo ya sare ya bila kufungana.  Mechi ya Shacter Donestc ikiwa katika uwanja wake wa nyumbani iliwachapa FC Roma mabao mawili kwa moja 2:1 japo timu ya Roma walikuwa wa kwanza kupata goli lakini vijana wa Shacter waliongeza goli la pili katika mchezo huo. Angali ratiba ya mechi zijazo kwenye msimu huu wa La liga 2018

Headline zote za magazeti ya leo. Tarehe 9 Februari 2018

Ni asubuhi nyingine tena na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania February 9 2018 kuanzia ya, Udaku, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa katika headline za magazeti ya leo. By Reuben Paul

Ndala ya Diamond Platnumz yakatika mahakamani

  Habari kwa Ufupi Msanii huyo alianza kuchechemea kuonyesha mguu wake wa kushoto kulikuwa na tatizo. Ghafla alibadili mwelekeo na kwenda kwenye gari. Kilichotokea hapo ni kwamba ‘sendozi’ yake ilikuwa imekatika. Dar es Salaam, Waswahili  wanamsemo wao usemao ajali kazini. Hivyo ndivyo ilivyotokea kwa Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond ambaye amewasili katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Kisutu lakini amekutana na balaa baada ya kiatu alichovaa kukatika. Msanii huyo alianza kuchechemea kuonyesha mguu wake wa kushoto kulikuwa na tatizo. Ghafla alibadili mwelekeo na kwenda kwenye gari. Kilichotokea hapo ni kwamba ‘sendozi’ yake ilikuwa imekatika. Msanii huyo alionekana kuendelea na shughuli iliyompekeka mahakani hapo huku akiwa amekaa nje kwenye bechi pamoja na wakili wake kusubiri utaratibu. Diamond ambaye aliambatana na mwanasheria wake, akiwa katika gari aina ya Land Cruiser Prado rangi ya bluu mpauko. Mara baada ya kuwasili katika viunga vya Mahakama ya K

Frustrations galore! Zari takes Diamond’s Muslim children to a church service (Video)

Both Zari and her baby daddy Diamond Platnumz are Muslims. Zari however seems to have converted to Christianity if going to church is anything to go by. Zari Hassan was born in a Muslim family, both her mother and father practiced Islam. The mother of five converted to Christianity for the period she was married to Ivan Ssemwanga. Zari however reconverted back to Islam when she hooked up with Diamond in 2014. Even their two kids have Islamic names apart from their fancy names. Frustrations Diamond has been frustrating Zari with his philandering ways. The Tanzanian singer is said to be sleeping around with Tunda Sebastian and other women. Zari has been fighting with Hamisa Mobetto and Tunda but now it seem she is tired of her husband’s infidelity. The mother of five has now resorted to seeking divine intervention to her problems. Zari was seen singing at a church in South Africa last Sunday. She also tagged along her two kids to the church service.