Skip to main content

Posts

Showing posts from January, 2018

Jiepushe na huu uzushi wa kisiasa unaoendelea Nchini.

TAARIFA KWA UMMA Kuna taarifa za uzushi zinaenezwa za viongozi wanao tajwa  kuwa ni viongozi wa CHADEMA Kata ya Ormelili na kwamba wamejiuzulu nafasi zao sio za  kweli, Watu wanaotajwa sio viongozi wa CHADEMA na hawajawahi kuwa Viongozi wa CHADEMA wa Kata ya Ormelili. Aidha tunawataka CCM waache maaigizo ya kuwavalisha watu nguo zao na kuwapa vyeo kwa sifa za kisiasa. Kitendo cha kuwapachika watu sifa na vyeo vya kiuongozi visivyo vyao na kusema kuwa wamejiuzulu ni kosa la jinai (IMPERSONATION). Udanganyifu huu ni wa aibu na kamwe watu wa SIHA hawatayumba na sarakasi hizi na vituko hivi. Imetolewa na; Mozec Joseph Afisa-Habari na Mawasiliano CHADEMA Kanda ya Kaskazini. 28.01.2018

Constitutional Cases and Administrative Cases in Tanzania

"Fiat Justitia Ruat Caelum" Cases on Constitutional and Administrative Laws in Tanzania By: Reuben Paul List of analysed Cases: (1) Cotwu (T)-Ottu Union and Another. v. Hon. Iddi Simba, Minister of Industries and Trade and 7 Others High Court (Katiti, J.): May 25, 2000 Miscellaneous Civil Cause No. 100 of 1999  (2) Director of Public Prosecutions v. Daudi Pete Court of Appeal (Nyalali C.J., Makame and Ramadhani JJ.A.): Criminal Appeal No. 28 of 1990 May 16, 1991 (3) Hamisi Masisi and Others v. Republic High Court, Miscellaneous Criminal Cause No. 54 of 1978 (4) Julius Ishengoma Francis Ndyanabo v. Attorney General Court of Appeal, Civil Appeal No. 64 of 20 (5) Kukutia Ole Pumbun and Another v. Attorney General and Another Court of Appeal: July 23 , 1993 Civil Appeal No. 32 of 1992 (6) Lausa Alfan Salum and 106 Others v. Minister for Lands, Housing and Urban Development Court of Appeal: November 9, 1994 Civil Appeal No. 15 of 1994 (7) Attorney General v. Lohay Akonaa

Habari kubwa za Magazeti ya TZ leo January 24 2018 Udaku, Michezo

Ni asubuhi nyingine tena na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania January 24 2018 kuanzia ya, Udaku, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa

20-year-old pornstar found dead in Las Vegas home

20-year-old porn star Olivia Nova was found dead Sunday at a home off of Alta and Fort Apache. The cause of her death is unknown, but there is no homicide investigation. (Photo provided) LAS VEGAS (KSNV) —  A 20-year-old porn star was found dead in a Las Vegas neighborhood over the weekend. Her cause of death is still a mystery. The Las Vegas Metropolitan Police Department says Alexis Forte -- better known as Olivia Nova -- was found dead inside a home in a gated community. Police say Las Vegas Fire called them with the discovery. The 20-year-old up-and-coming pornstar was found dead Sunday morning, just after 9 a.m. near Alta and Fort Apache. Police tell us they found no suspicious circumstances surrounding Nova's death. The Clark County coroner picked up the Minnesota native's body, and at this time, says her cause of death has not been determined. Nova just launched her career in March of 2017. The adult film industry considered her a rising star. Nova had already appe

Simba Amepigwa Vikali na Azam

Baada  ya  kipigo  cha Azam  FC ,  Simba   wanaisubiri   URA   kujua hatma yao January 6 2017 michuano ya Kombe la Mapinduzi  2018  iliendelea kama kawaida visiwani  Zanzibar  kwa michezo kadhaa kuchezwa, mchezo kati ya  Azam  FC  dhidi ya Simba   SC  ndio ulikuwa mchezo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka kwani timu hizo zimekuwa zipeana ushindani sana. Simba  walikuwa wanaingia uwanjani kucheza dhidi ya  Azam  FC  inayohitaji matokeo ya ushindi ili kufuzu kucheza hatua ya nusu fainali kwani matokeo tasa au kupoteza mchezo wangekuwa wametolewa katika michuano hiyo moja kwa moja. Dhamira ya  Azam FC  kutinga hatua ya nusu fainali ilitimia dakika ya 59 baada ya Iddy Kipagwile kufunga goli ambalo hadi dakika 90 zinamalizika mchezo ulikuwa 1-0, Simba sasa atakuwa na wakati mgumu wa kuamua hatma yake kwa kupata ushindi mchezo wake wa mwisho dhidi ya URA ya Uganda, kwani sare itawatoa katika mashindano hayo. Msimamo wa Kundi lao Azam FC anaongoza Kundi kwa kuwa na point tisa aki

Messi Kuondoka Barca Baba Ake Aja na Majibu

Leo January 6, 2018 Baba mzazi wa nyota wa Barcelona Lionel Messi, Jorge Messi amezungumzia taarifa zinazosamba kuwa endapo jimbo la Catalonia litajitenga kutoka Hispania nyota huyo ataachana na klabu hiyo kuwa ni taarifa za uongo.  Jorge ameyasema hayo kwenye mahojiano na ‘Radio Red’ ya Argentina na kufafanua kuwa hakuna kipengele kinachotaka Messi aondoke Barcelona endapo Catalonia itajitenga na Hispania. ”Taarifa hizo ni za uongo, mkataba mpya wa Messi hauna kipengele hicho, ila tu kuna maelewano yanayotaka pande zote mbili kuzingatia, Barcelona ni timu kubwa na inawachezaji wakubwa kwa hiyo inatakiwa kucheza ligi kubwa haijalishi ni ligi gani ila iwe moja ya ligi kubwa”, – Jorge Messi

Ndege Zagongana Toronto

Ndege mbili za abiria zimegongana katika Uwanja wa Ndege wa Toronto nchini Canada usiku wa kuamkia leo January 6, 2016. Inaelezwa kuwa hakuna vifo na majeruhi yuko mmoja tu ambaye aliwahishwa hospitali. Ndege moja ambayo ilikuwa na abiria 168 ambayo inaitwa Westjet iliyokuwa ikiwasili kutoka Cancun Mexico na ilipogongwa na Sunwing Aircraft ambayo haikuwa na abiria. Baada ya ndege hizo kugongana moto mdogo uliwaka katika eneo hilo na ndipo abiria waliokuwa kwenye ndege ya Westjet walipoanza kutoka nje ya ndege hiyo kupitia mlango wa dharura hivyo kuepuka madhara zaidi ambayo yangeweza kuwapata.

Mourinho kamtishia vikali kocha wa Chelsea.

Kocha wa Manchester United Jose Mourinho ameendeleza vita ya maneno dhidi ya kocha wa Chelsea Antonio Conte baada ya kuzungumza na waandishi wa habari baada ya game ya FA iliyomalizika kwa Man United kupata ushindi wa magoli 2-0. Jose Mourinho baada ya game aliongea na vyombo vya habari kama ilivyokawaida lakini alitoa kauli inayosadikiwa kuwa ni kijembe kwa kocha wa sasa wa Chelsea Antoanio Conte. Antoanio Conte. “Simlaumu kwa kitendo chake kiukweli 

CCM yatangaza wagombea watakaogomgea ubunge Siha Kilimanjaro na Kinondoni

Leo January 6, 2018 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi Humphrey Polepole  ametangaza uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi  kumteua Maulid Mtulia kugombea ubunge jimbo la Kinondoni Dar es Salaam huku ikimteua Dr. Godwin Mollel kugombea kwenye jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro. Wawili hawa walitangaza kujivua uanachama na nyadhifa zao zote za chama wiki chache zilizopita, Mtulia akiwa Mbunge wa Kinondoni kwa tiketi ya CUF wakati Dr. Mollel akiwa Mbunge wa Siha kwa tiketi ya CHADEMA. Taarifa zilizotolewa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole wa CCM na kueleza wagombea hao wafike katika mikoa husika yalipo majimbo yao ili kupokea maelekezo yanayohusu uchaguzi kutoka kwa makatibu wa CCM Jumanne ya January 9, 2018.

UN yaunda Tume kuchunguza Mauaji ya Wanajeshi Wa Tanzania Waliofariki Congo

Leo January 6, 2018 Katibu mkuu wa   Umoja wa Mataifa  Antonio Guterres amesema umoja huo utachunguza shambulizi lililofanyika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo mwezi uliopita ambapo wanajeshi 15 wa kulinda amani wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa kutoka  Tanzania  waliuawa. Dmitry Titov , raia wa Urusi ambaye alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameteuliwa kuongoza uchunguzi wa mazingira yaliyolizunguka shambulizi hilo, kutathimini iwapo kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani kilikuwa tayari kujihami dhidi ya mashambulizi na kutoa mapendekezo ya kuepusha mashambulizi zaidi.. Mbali na maafisa wa Umoja wa Mataifa kuhusika katika uchunguzi, maafisa wawili wa kijeshi kutoka Tanzania watajumuishwa katika kundi hilo la uchunguzi. Waasi wa kundi la Allied Democratic Forces ADF wanashukiwa kuhusika na shambulizi hilo.

Historia Fupi ya Madaraka ya Arnod Shwarzenegger

ANASIMULIA ALIEKUWA GAVANA WA California MAREKANI NA MSANII MAARUFU WA MOVIE ARNOLD SHWARZENEGGER. "Nikiwa Gavana safari moja nilialikwa katika uzinduzi wa Hotel moja hapa Marekani Baada ya uzinduzi nilishangaa kupewa barua ya offer Kuwa wakati wowote nikitaka kulala hapo hotelini chumba changu kitakuwa tayari 'booked'kwa jina langu na sitolipia... Sikuwahi kwenda hata mara moja kulala ama kutumia offer hiyo. Mara baada ya kumaliza Ugavana wangu siku moja nikaenda na Offer yangu pale Hotelini mara kadhaa nikiambiwa hakuna Nafasi ya hiyo Offer. Nikatoka nje ya Hotel pale tulipofanya uzinduzi miaka iliopita nikatandika chini na kulala hapo. Wakaja watu wakashangaaa sana, Nimechanganyikiwa ama la. Alipokuja mwandishi kunihoji nikamwambia nina statement nataka kuithibitisha na ni hii: 'Wakati unanafasi hasa ya madaraka, kunawatu watakuthamini sana kwa kuwa cheo chako kinafaida kwao na si wewe, siku ukikosa hiko cheo hawatokuthamini,na leo nimeweka ushahidi wa h

Huko UIngereza Wapambana na Mitandao ya Kijamii Mashuleni

Watoto Uingereza kuanza kufundishwa zaidi kukabiliana na ‘likes’ za mitandao ya kijamii kuanzia shule za msingi By Reuben Paul Kamishna wa Elimu nchini Uingereza Anne Longfield ameweka msisitizo watoto kuanzia shule za msingi nchini humo kufundishwa zaidi kuhusu uelewa wa masuala ya digitali ili kuwasaidia kuepukana na shinikizo la mitandao ya kijamii. Hii imetokana na uchunguzi uliofanywa nchini humo na kugundua kuwa watoto wengi chini ya miaka 13 kutokana na mitandao ya kijamii akili na muda wao hujikita katika kupata likes na kutengeneza mwonekano wao wanaotaka uonekane kwenye mitandao hiyo. Uchunguzi huu umebaini pia kuwa matumizi yaliyokithiri ya mitandao hii kwa watoto yanawafanya wajishushe kwenye nyanja mbalimbali kutokana na watu wanao wa-follow kuonekana wako juu zaidi yao kwa namna tofauti tofauti husuani watu maarufu.