Skip to main content

Historia Fupi ya Madaraka ya Arnod Shwarzenegger

ANASIMULIA ALIEKUWA GAVANA WA California MAREKANI NA MSANII MAARUFU WA MOVIE

ARNOLD SHWARZENEGGER.

"Nikiwa Gavana safari moja nilialikwa katika uzinduzi wa Hotel moja hapa Marekani
Baada ya uzinduzi nilishangaa kupewa barua ya offer
Kuwa wakati wowote nikitaka kulala hapo hotelini chumba changu kitakuwa tayari 'booked'kwa jina langu na sitolipia...

Sikuwahi kwenda hata mara moja kulala ama kutumia offer hiyo.

Mara baada ya kumaliza Ugavana wangu siku moja nikaenda na Offer yangu pale Hotelini mara kadhaa nikiambiwa hakuna Nafasi ya hiyo Offer.

Nikatoka nje ya Hotel pale tulipofanya uzinduzi miaka iliopita nikatandika chini na kulala hapo.

Wakaja watu wakashangaaa sana,
Nimechanganyikiwa ama la.

Alipokuja mwandishi kunihoji nikamwambia nina statement nataka kuithibitisha na ni hii:

'Wakati unanafasi hasa ya madaraka, kunawatu watakuthamini sana kwa kuwa cheo chako kinafaida kwao na si wewe,

siku ukikosa hiko cheo hawatokuthamini,na leo nimeweka ushahidi wa hilo na si kwamba nilikuwa na nia ya kulala hapa Hotelini.

Wenye vyeo na Madaraka tuweni makini sana tusije mkatumika kwa maslahi ya vyeo na madaraka yetu,Na tusije tukadhania marafiki hao na offer za namna hiyo tunazopata tukiwa na madaraka zitaendelea TUKIWA HATUNA HAYO MADARAKA."

Comments

Unknown said…
Kweli chunguza saikologia ya watu unaowaongoza ujue kama wako pamoja nawe.

Popular posts from this blog

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

Ndege ya Ukraine yaanguka Iran ikiwa na abiria 180, Abiria wote wafariki

Ndege ya Ukraine aina ya Boeing-737 iliyokuwa na abiria 180 imeanguka Iran, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Watoa huduma wa msalaba mwekundu wa Iran wanasema kuwa hakuna dalili yeyote kama kuna mtu aliyepona katika ajali hiyo. Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la kimataifa la ndege la Ukraine ilianguka muda mfupi baada ya kuanza safari katika uwanja wa ndege wa Imam Khomeini mjini Tehran. Ripoti za awali zinadai kuwa ndege hiyo ilikuwa safarini kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv.  Haijabainika ikiwa ajali hiyo ina uhusiano wowote na mzozo wa Iran-na Marekani. Kikosi cha uokoaji tayari kimetumwa katika eneo la tukio karibu na uwanja wa ndege, eneo ambalo ndege lilianguka. Credit: GettyImage " Ndege imeshika moto na tumetuma kikosi huko ... ," kiongozi wa huduma za dharura Pirhossein Koulivand,ameviambia vyombo vya habari ambapo Reuters imeripoti. Je tutegemee machafuko zaidi kutokea? Endelea kuwa pamoja nasi bega kwa bega, mshirikishe na mwenz...