Skip to main content

FAIDA ZA MAZIWA YA SOYA MWILINI

DONDOO ZA AFYA........!!!!

MAAJABU YA SOYA MWILINI.

MAAJABU YA SOYA MWILINI.
Soya ni zao la jamii ya mikunde lenye aina nyingi za matumizi; ni zao linalofaa kwa chakula cha binadamu na wanyama na pia ni zao la biashara. Zao hilo lina kiasi kingi cha protini yenye ubora wa hali ya juu kuliko kiasi kilichopo katika aina nyingine ya mazao ya mimea.ZK  taasisi inayojishughuliza na uzalishaji wa bidhaa za vyakula lishe na mimea na matunda, vinavyoweza kutiba magonjwa mbalimbali wamezalisha maziwa ya Soya ambayo yana  kiasi cha protini inayozidi hata kiasi cha protini katika nyama, mayai na maziwa.
Hii inamaanisha kuwa maziwa ya soya ni chanzo rahisi na cha bei nafuu cha protini hasa kwa watu wenye kipato kidogo ambao hawawezi kumudu gharama za vyanzo vingine vya protini kama nyama, maziwa na samaki. Aidha, maziwa ya soya yanaa mafuta bora yasiyo kuwa na lehemu (cholesterol). Uwingi na ubora wa protini katika maziwa ya soya yanaweza kuondoa utapiamlo hususani kwa watoto na kuwaongezea nguvu kwa wagonjwa ikiwa ni pamoja na wale wanaoishi na Virusi Vya UKIMWI (VVU) na wagonjwa wa UKIMWI na magonjwa mengine.
Utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kuwa kutumia maziwa ya soya kunapunguza athari za kansa ya matiti kwa wanawake, magonjwa ya moyo na kisukari. Maziwa ya  wa soya hutumika kifungua kinywa au chai kupitia soya unaweza kutengeneza kahawa ya soya isiyo na kilevi (caffein).

Maziwa ya soya ni moja ya chakula chenye vitamin ya kutosha mwilini ikiwa ni pamoja na vitamin A, B  C, D. E, F, G, H, na K .Kutokana na ubora na ladha maridadi ya soya ilipelekea watu wa zamani katika jamii zetu kutumia chakula hiki kama mbadala wa nyama, mayai na mafuta  .
Ndiyo maana maeneo mengine huita “maini”. Sanjali na hayo .
Maziwa ya soya huboresha afya ya Ubongo na maini , hii inatokana na uwepo wa ‘glycelin’  pamoja na ‘fatty acid’ .Lakini pia ni muhimu sana kwa ajili ya mishipa ya fahamu.
1. Hatahivyo maziwa ya soya hutibu vidonda vya tumbo, saratani na husaidia kumpatia nafuu mgonjwa wa kisukari na wale wenye kusumbuliwa na matatizo ya kibofu pamoja na figo.
2. Hutibu tatizo la utapia mlo, Maeneo mengi ikiwemo Asia hutumia maziwa ya soya kuwalisha watoto ili kuondoa uwezekano wa tatizo hili  lakini pia ni muhimu kwa afya ya wazee,
3. Maziwa ya  soya yana utajiri mwingi wa protini, kuliko  jamii ya mikunde  kama njegere, maharage.
4. Maziwa ni  muhimu sana  kwa ajili ya afya ya uzazi kwa wanawake na wanaume.
5. Lakini pia mafuta ya soya yanapotumika kwa kupakwa kichwani huondoa mba na ukurutu nk.


Vitamini A kuona zaidi, Vitamini B kuboresha afya ya ngozi vitamin C husaidina mwili kuimarisha mifupa, ufahamu na ubongo kufana kazi ipasavyo. Vitamini D - husaidi kusharabiwa mwilini kwa madini ya kalshamu na kuimarisha mifupa na meno. Vitamin E kunawirisha

KUJIPATIA NAKALA YA KITABU CHA #AFYA AU Kwa mahitaji ya bidhaa za soya / kujifunza tuma ujumbe AFYA kwenda Namba 0769380126. UNAWEZA KUTUPIGIA SIMU PIA KWA NAMBA HIYO HIYO 0769380126.

Comments

Popular posts from this blog

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

Supplements During Pregnancy: What’s Safe and What’s Not

AUTHORITY NUTRITION Evidence Based Supplements During Pregnancy: What’s Safe and What’s Not Pregnancy can be one of the most exciting and happy experiences in a woman’s life. However, it can also be a confusing and overwhelming time for some mothers-to-be. The internet, magazines and advertisements flood women with advice on how to stay healthy during pregnancy. While most women know that high-mercury seafood, alcohol and cigarettes are off-limits during pregnancy, many are unaware that some vitamins, minerals and herbal supplements should be avoided as well. Information on which supplements are safe and which aren’t often varies between sources, making things more complicated. This article breaks down which supplements are believed to be safe to take during pregnancy and explains why some supplements must be avoided. Why Take Supplements During Pregnancy? Consuming the right nutrients is important at every stage of life, but it’s especially crit...