Skip to main content

Posts

Showing posts from December, 2019

Alikiba na Studio Mpya

Kwa mara ya kwanza mwimbaji Alikiba amezungumzia studio yake mpya baada ya kupost picha za muonekano wake. “Studio yangu mara nyingi napenda kufanya kazi na Producers tofauti, nawaalika na Producers wakubwa wanakuja tunafanya nao kazi vilevile kuna Producers tupo nao ni wachanga, nitasema lini zitaanza kufanya kazi ila bado tunafanya kazi, ni kwaajili ya King’s Music, Tutawapa updates baadae kama ni studio za video au audio tu”