Wachambuzi wa masuala ya kimataifa kupitia Televisheni ya The Fox wamechambua kuhusu silaha zilizoonyeshwa siku ile zilikuwa ni silaha kweli au zilikuwa fake, mchambuzi huyo Pregent amesema zile silaha zilikuwa fake na Kim Jong-un alifanya hivyo kwa makusudi ili askari wake wasije wakajidhuru hapo walipokuwa wakionyesha ukakamavu kwenye paredi , pia Pregent amegusia kuhusu hao wanajeshi walikuwa ni makomando au recruiter amesema hao ni makomando wote , lakini licha ya kuwa ni komando au sio komando na suala la silaha feki yasichukuliwe kama mambo ya kawaida kwani vita ni vita na sio ya siku moja maana itaacha madhara makubwa sana. Despite the fakes, a reason to fear There may be questions about North Korea’s capabilities when it comes to effectiveness on the ground, ballistic missiles and even nuclear capabilities, but experts agree that the artillery units being tested this week present a clear and presen...
Usipitwe na Habari za Kila Kona ya Dunia.