Skip to main content

Posts

Showing posts from March, 2018

Shaka ataja kila kitu walivyomtumbua Jokate

Shaka ataja Sababu za Jokate kutenguliwa katika nafasi Yake. Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu  Shaka Hamdu Shaka amesema kutenguliwa kwa uteuzi wa Kaimu Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi jumuiya hiyo, Jokate Mwegelo ni maazimio yaliyoridhiwa na Baraza Kuu la Jumuiya hiyo. Uamuzi wa kutenguliwa kwa uteuzi huo wa Jokate Mwegelo, umetangazwa Leo na Mwenyekiti wa UVCCM,  Ndugu Kheri James mjini Dodoma Leo Jumapili Machi 25 2018, Kufunga Kikao cha Baraza Kuu la jumuiya hiyo, iliyotanguliwa na semina elekezi huku akisisitiza nafasi hiyo itajazwa baadaye. Akizungumza Ndugu Shaka amesema sababu za kutenguliwa kwa Jokate inatokana na uamuzi wa Kamati ya Utekelezaji ya Umoja huo iliyokutana kwa dharura Leo mchana chini ya Mwenyekiti wake, Ndugu  Kheri James na kuazimia kwa pamoja ambapo hatua hiyo ni utaratibu wa kawaida wa vikao vya baraza hilo ambapo ajenda inapowasilishwa bila kujali aliyewasilisha ni nani na kikao kinaporidhia inakuwa ni ajenda ya ki

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Akagua Gwaride la Maafisa Misitu na Wanyama Katavi

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga akikagua gwaride la Maafisa wa Misitu na  Wanyamapori 108 kutoka Wakala wa huduma za Misitu Tanzania (TFS)na Mamlaka ya Eneo la Ngorongoro kabla ya kuwatunuku vyeti vya kuhitimu mafunzo ya Jeshi Usu katika kituo cha Mlele Katavi.

Jokate Atupwa Nje na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, hana cheo tena.

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa atengua uteuzi wa Jokate. Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndugu Kheri James ametengaza kutengua uteuzi wa kaimu katibu wa idara ya uhamasishaji na chipukizi ya UVCCM Taifa Ndugu Jokate Mwegelo kuanzia Leo March 25, 2018. Pia mwenyekiti huyo amesema nafasi hiyo itajazwa baadae, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Kheri James ameyasema hayo Leo wakati wa kufunga kikao cha Baraza kuu Taifa. Jokate alikuwa anafanya kazi ya kuhamasisha vijana kuhusu maendeleo. Tutaendelea kukujuza habari hizi kila zinapotufikia.

Mwakibinga Awaamshia Dude Maaskofu wa KKKT Waliotoa Waraka 24/03/2018

WATETEZI WA RASILIMALI WASIO NA MIPAKA (WARAMI) TAARIFA KUHUSIANA NA WARAKA WA MAASKOFU KKKT ............................................................................................ JANA tuliona katika mitandao ya kijamii waraka wa viongozi wetu wa dini,ukizungumzia masuala mbali mbali ya nchi na mwelekeo wake huku sehemu kubwa ya waraka huo ukijikita katika kuikosoa serikali juu ya namna inavyoendeshwa. Tunafahamu viongozi wa dini wana wajibu wa kiutumishi katika jamii huku wakilinda dhamira yao ya kuhakikisha umoja wa nchi yetu unabaki kuwa salama kwa namna yoyote ile. Inapotokea mazingira yoyote ya viongozi wetu wa dini kushindwa kusimamia wajibu huo jamii inayoongozwa na viongozi hao inapaswa ijisimamie yenyewe na kuwakumbusha wajibu wao huo Sisi  Watetezi wa Rasiliamli wasio na mipaka (WARAMI) tunaamini kuwa moja wa wajibu wetu ni kuhakikisha  Jamii inapatiwa haki hiyo pasipo upendeleo wa aina yoyote ule wa kiimani, kisiasa kanda au hata kiukabila K

Ajali Yamaliza Familia za Watu Wengi.

Watu 24 wafariki katika ajali iliyousisha Hiace na Lori. Watu 24 wamefariki na wengine 10 wamejeruhiwa kwa ajali baada ya gari aina ya hiace kugongana na lori katika kijiji cha Mparanga wilayani Mkuranga mkoani Pwani. Kaimu kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Kibiti, Mohamed Likwata amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema kwamba ajali imetokea usiku wa kuamkia leo Machi 25, baada ya hiace hiyo kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa likitokea koani Mtwara kuelekea Dar es salaam. Kamanda Likwata ameendelea kwa kutaarifu kuwa majeruhi wote wamepelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili  jijini Dar es Salaam kwa matibabu.

Rais wa Tanzania ashiriki jumapili ya matawi kanisa la St. Peters Osterbay

Rais Dkt John Pombe Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakishiriki Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la St. Peters Oysterbay jijini Dar leo Machi 25, 2018

Vyuo 163 vyapata pigo kutoka NACTE

NACTE yafungia vyuo 163 kufanya Udahili. Na Reuben Paul. Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte), imevipiga marufuku takribani vyuo 163 vilivyopo nchini Tanzania kuacha kuwafanyia udahili wa masomo wanafunzi wanaotarajia kujiunga na elimu ya juu kwa mwaka 2018 kutokana na kutokidhi vigezo. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Kitengo cha Udahili Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, Twaha Twaha Leo (Machi 23, 2018) wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam na kusema baraza linawataka waombaji wa nafasi za mafunzo kwa ngazi za Astashahada na Stashahada kwa muhula wa masomo wa Machi/Aprili, 2018 kuomba kwenye vyuo vilivyokidhi ubora ambavyo vimeorodheshwa kwenye tovuti ya baraza na sio vinginevyo. "Baraza lilifanya uhakiki 'academic audit' kwenye vyuo vyote ambavyo vimesajiliwa na baraza ili kuweza kujiridhisha kuona kwamba vina sifa na mambo mbalimbali ambayo yanahusika na utoaji wa taaluma", amesema Twaha. "Katika uhakiki huo, Baraza

What makes you acceptable by everyone you meet? Answers are given out by some peoples. Just read...!

Here are some ideas Make eye contact with people and truly smile - you can communicate more effectively with the eye and a beautiful smile at times more than words can ever do. Be brave and confident.  A lot of people are riddled with self doubt. People are scared to take the first step. So display confidence and bravery. Be the first to talk and take action in tense situations. Doing this will free others to take action too and they'll like you for it. Be passionate about something -  why is Steve Jobs and Elon so likable? They've got crazy beliefs that spreads to everything they do. Don't live without a purpose. Find something to strongly believe in, it will show in your behavior. Put away your phone -  when you press your phone in a conversation. You are insulting the person that they are not important. People don't like people that insults them. Be respectful but don't try to please -  hard truth is that everyone can't like you. It's just the same way

Ujumbe wa Mwisho kwa Dunia aliotoa Stephen Hawking Kabla Hajafa, Ukisoma Usilie!

One of Hawking's Last Messages For Humanity Was a Warning We Should All Heed His mind saw our Universe differently. If Stephen Hawking was a star, he'd have gone out like a supernova. Not one to fade into retirement quietly , the famous physicist's predictions were a constant feature of front page news until the very end , leaving us to question which of his warnings were profound words of wisdom, and which were the nervous concerns of a celebrity scientist. But whether you agree with them or not, these five warnings will rightfully keep humanity talking for years to come. 1. Humanity is on a path to either disaster or the stars. There are a lot of words we could use to describe Stephen Hawking. It's hard to know if 'optimistic' is one of them. "We face a number of threats: nuclear war, global warming and genetically engineered viruses," Hawking told Radio Times in 2016, according to Sarah Knapton at The Telegraph . "Although the chance of

ABDUL NONDO kushtakiwa mahakamani kwa kudanganya serikali na Umma

  Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetolea ufafanuzi kuhusu kile kinachoitwa kutekwa kwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Nchini TSNP, Abdul Nondo.   Akizungumza na Wandishi wa Habari Kamanda wa Kanda Maalumu, Lazaro Mambosasa amesema mnamo Machi 7, mwaka huu waliletewa taarifa kutoka kwa wenzao wa Iringa ambapo walithibitisha kupatikana kwa mwanafunzi huyo akiwa mzima huku akiwa hajaripoti kituo chochote cha Polisi.   Mambosasa amesema Jeshi la Polisi Kanda Maalumu kwa kushirikiana na wenzao wa Iringa walithibitisha kuwa Nondo hakutekwa bali alijiteka ambapo mawasiliano ya jumbe za simu yake zinaonesha kuwa alikuwa akiwasiliana na mpenzi wake aliyepo mkoani humo. "Kijana huyu ambaye ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam hakutekwa wala kushikiliwa bali alijiteka mwenyewe kwa nia ama ya kutafuta umarufu au kwa sababu ambazo anazijua mwenyewe", amesema Kamanda Mambosasa.   "Jeshi la Polisi tunaende

Namna ya kupata mchumba kulingana na mwezi wa aliozaliwa

Watu watapata bahati mwaka huu kwa muda mrefu kama ni kitu kinachohusiana na upendo. Utabiri huu unategemea mwezi wa kuzaliwa wa watu binafsi. Hapa tunakuletea orodha ya njia ambazo kila ishara ya zodiac itashuhudia maisha yao ya upendo. Kwa karibu miezi 2 tayari katika mwaka, ni ya kuvutia kujifunza kuhusu utabiri wa upendo kwa kila mtu kulingana na mwezi wao wa kuzaliwa. Tafuta wakati unapokuwa na bahati mwaka huu kulingana na mwezi wako wa kuzaliwa ... Januari Mwaka 2018 inaonekana kuwa ya kusisimua kwa watu waliozaliwa mwezi huu kwa suala la Upendo. Bila kujali hali yao ya uhusiano mwaka huu ni kitu chochote lakini cha kutisha kwao. Kuna uwezekano wa kupatikana. Kwa wale ambao tayari wameolewa, wanaweza kutarajia habari njema zijazo kwa njia yao kama zinaweza kupanua familia zao - kwa jumla. Februari Mwaka huu ni kuhusu mabadiliko makubwa ya kibinadamu ambayo watu hawa wasiotekelezwa. Inatabiri kwamba ikiwa hawatapata umuhimu wa maisha ya mpenzi wao, mambo yanaweza kukomesha.

Tafuta Mchumba/Mpenzi kulingana na Mwezi wa Kuzaliwa Kwake.

Individuals will get lucky this year as long as it is something related to love. These predictions are based on the birth month of the individuals. Here we bring you the list of ways in which each zodiac sign would experience their love life. With almost 2 months already into the year, it is interesting to learn about the love predictions for each individual based on their birth month. Find out when you are going to be lucky this year according to your birth month... January. The year 2018 seems to be exciting for the people born in this month in terms of Love. Regardless of their relationship status this year is anything but boring for them. There are chances that they might get hitched. For those who are already married, they can expect great news coming their way as they might expand their family - overall. February This year is all about the drastic personal changes that these undividuals will undergo. It is predicted that if they do not find their importance in their partner

Simanzi kubwa kwa Dunia, vita ya Syria na Urusi

Wakati rais wa nchi ya Urusi Vladimr Putin akiwa anasisitiza kusimamishwa kwa mapigano angalau kwa saa 5 kila siku ili kutoa msaada kwa wanadamu wanaodhulika na vita kati ya wapiganaji wa Syria na wanamgambo wasiotaka suluhu. Lakini kuna maumivu yanayowapata wanadamu hasa watoto, wazee, na akina mama wasiojiweza kufanya lolote. Wiki hii luna kikao kilichokuwa kinaendelea ambacho walikiita 'HUMANITARIAN PAUSE' kwa ajili ya kupunguza mapigano kati ya waasi na wapiganaji wa majeshi ya Syria. Lakini bado vita hivi vinaacha majanga makubwa sana kwa maisha ya mwanadamu. Dunia imeshtushwa na picha Hii ya kuhuzunisha ya kijana wa miaka  Minne (4) ,aliyekuwa akihama kutoka Syria kwenda Jordan. Maofisa wa UNHCR walikutana naye akitembea kwa miguu peke yake jangwani kutoka Syria akielekea Jordan.  Kitu pekee alichokuwa amebeba ni mfuko wa plastic, maarufu Kama Rambo, ambamo ndani yake Mlikuwa na nguo za marehemu mama yake na dadake ambao waliuawa Syria. Maofisa hao wa

*METHALI 610 ZA KISWAHILI*

------------------------------------------- 1. Aanguaye huanguliwa. 2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu. 3. Abebwaye hujikaza. 4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti. 5. Adui aangukapo, mnyanyue. 6. Adui mpende. 7. Adui wa mtu ni mtu. 8. Afadhali ya Musa kuliko ya Firauna. 9. Ahadi ni deni. 10. Ajidhaniaye amesimama, ajiangalie asianguke. 11. Akiba haiozi. 12. Akili ni mali. 13. Akili ni nywele kila mtu ana zake. 14. Akili nyingi huondowa maarifa. 15. Akutukanae hakuchagulii tusi. 16. Akipenda chongo huita kengeza. 17. Akufaae kwa dhiki, ndiye rafiki. 18. Akufanyiaye ubaya, mlipe wema. 19. Akupaye kisogo si mwenzio. 20. Akutendaye mtende, mche asiyekutenda. 21. Alisifuye jua, limeuangaza. 22. Aliye juu msubiri chini. 23. Aliye kando, haangukiwi na mti. 24. Aliye kupa wewe kiti (kibao) ndiye aliye nipa mimi kumbi. 25. Aliye kutwika, ndiye atakaye kutua. 26. Akufukuzae hakwambii toka. 27. Aliyekupa mkeka ndiye aliyenipa kumbesa. 28. Amani haipatikani mpaka kwa nch

Benki ya AI: Natwest inajenga mwanamke robot kushughulikia malalamiko ya wateja

AI: Cora itaweza kuwa na mazungumzo mawili na inaweza "kujibu kihisia" kwa watu Mtaa mkubwa wa mabenki wa barabara huunda mpya ya mapinduzi ya "mwanamke mzima" wa kike digital ili kuingiliana na watu, akiwasha hofu avatar inaweza kuchukua nafasi ya kazi za mfanyabiashara. Cora itaweza kuwa na mazungumzo mawili na "kujibu kihisia" kwa watu kwenye skrini ya kompyuta, kibao au simu ya mkononi, alisema taarifa ya NatWest. AI-powered "binadamu" ni matokeo ya kiungo-up na kampuni ya New Zealand tech. Ni mwanzilishi wa ushirikiano alihusishwa na kuunda wahusika wa digital kwenye filamu ya blockbuster ya Avatar na King Kong. Ni kuchora juu ya maendeleo katika ujuzi wa akili, saikolojia, nguvu ya kompyuta na akili ya bandia kuunda avatar, kampuni hiyo ilisema. Kampuni hiyo ilipendekeza wateja ambao waliepuka huduma za digital katika siku za nyuma, wanaweza kuwa na hamu zaidi ya kuingiliana na wanadamu wa digital kama Cora. Lakini inga