Skip to main content

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Akagua Gwaride la Maafisa Misitu na Wanyama Katavi

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga akikagua gwaride la Maafisa wa Misitu na  Wanyamapori 108 kutoka Wakala wa huduma za Misitu Tanzania (TFS)na Mamlaka ya Eneo la Ngorongoro kabla ya kuwatunuku vyeti vya kuhitimu mafunzo ya Jeshi Usu katika kituo cha Mlele Katavi.
naibu waziri akikagua gwaride

Comments