Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga akikagua gwaride la Maafisa wa Misitu na Wanyamapori 108 kutoka Wakala wa huduma za Misitu Tanzania (TFS)na Mamlaka ya Eneo la Ngorongoro kabla ya kuwatunuku vyeti vya kuhitimu mafunzo ya Jeshi Usu katika kituo cha Mlele Katavi.
Comments