Skip to main content

Mourinho kamtishia vikali kocha wa Chelsea.

Kocha wa Manchester United Jose Mourinho ameendeleza vita ya maneno dhidi ya kocha wa Chelsea Antonio Conte baada ya kuzungumza na waandishi wa habari baada ya game ya FA iliyomalizika kwa Man United kupata ushindi wa magoli 2-0.

Jose Mourinho baada ya game aliongea na vyombo vya habari kama ilivyokawaida lakini alitoa kauli inayosadikiwa kuwa ni kijembe kwa kocha wa sasa wa Chelsea Antoanio Conte.

Antoanio Conte.

“Simlaumu kwa kitendo chake kiukweli 

Comments

Popular posts from this blog

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

FAIDA ZA MAZIWA YA SOYA MWILINI

DONDOO ZA AFYA........!!!! MAAJABU YA SOYA MWILINI. MAAJABU YA SOYA MWILINI. Soya ni zao la jamii ya mikunde lenye aina nyingi za matumizi; ni zao linalofaa kwa chakula cha binadamu na wanyama na pia ni zao la biashara. Zao hilo lina kiasi kingi cha protini yenye ubora wa hali ya juu kuliko kiasi kilichopo katika aina nyingine ya mazao ya mimea.ZK  taasisi inayojishughuliza na uzalishaji wa bidhaa za vyakula lishe na mimea na matunda, vinavyoweza kutiba magonjwa mbalimbali wamezalisha maziwa ya Soya ambayo yana  kiasi cha protini inayozidi hata kiasi cha protini katika nyama, mayai na maziwa. Hii inamaanisha kuwa maziwa ya soya ni chanzo rahisi na cha bei nafuu cha protini hasa kwa watu wenye kipato kidogo ambao hawawezi kumudu gharama za vyanzo vingine vya protini kama nyama, maziwa na samaki. Aidha, maziwa ya soya yanaa mafuta bora yasiyo kuwa na lehemu (cholesterol). Uwingi na ubora wa protini katika maziwa ya soya yanaweza kuondoa utapiamlo hususani kwa watoto na kuwao...

What makes you acceptable by everyone you meet? Answers are given out by some peoples. Just read...!

Here are some ideas Make eye contact with people and truly smile - you can communicate more effectively with the eye and a beautiful smile at times more than words can ever do. Be brave and confident.  A lot of people are riddled with self doubt. People are scared to take the first step. So display confidence and bravery. Be the first to talk and take action in tense situations. Doing this will free others to take action too and they'll like you for it. Be passionate about something -  why is Steve Jobs and Elon so likable? They've got crazy beliefs that spreads to everything they do. Don't live without a purpose. Find something to strongly believe in, it will show in your behavior. Put away your phone -  when you press your phone in a conversation. You are insulting the person that they are not important. People don't like people that insults them. Be respectful but don't try to please -  hard truth is that everyone can't like you. It's just th...