Skip to main content

CCM yatangaza wagombea watakaogomgea ubunge Siha Kilimanjaro na Kinondoni

Leo January 6, 2018 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi Humphrey Polepole  ametangaza uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi  kumteua Maulid Mtulia kugombea ubunge jimbo la Kinondoni Dar es Salaam huku ikimteua Dr. Godwin Mollel kugombea kwenye jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro.

Wawili hawa walitangaza kujivua uanachama na nyadhifa zao zote za chama wiki chache zilizopita, Mtulia akiwa Mbunge wa Kinondoni kwa tiketi ya CUF wakati Dr. Mollel akiwa Mbunge wa Siha kwa tiketi ya CHADEMA.

Taarifa zilizotolewa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole wa CCM na kueleza wagombea hao wafike katika mikoa husika yalipo majimbo yao ili kupokea maelekezo yanayohusu uchaguzi kutoka kwa makatibu wa CCM Jumanne ya January 9, 2018.

Comments

Popular posts from this blog

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

Ndege ya Ukraine yaanguka Iran ikiwa na abiria 180, Abiria wote wafariki

Ndege ya Ukraine aina ya Boeing-737 iliyokuwa na abiria 180 imeanguka Iran, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Watoa huduma wa msalaba mwekundu wa Iran wanasema kuwa hakuna dalili yeyote kama kuna mtu aliyepona katika ajali hiyo. Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la kimataifa la ndege la Ukraine ilianguka muda mfupi baada ya kuanza safari katika uwanja wa ndege wa Imam Khomeini mjini Tehran. Ripoti za awali zinadai kuwa ndege hiyo ilikuwa safarini kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv.  Haijabainika ikiwa ajali hiyo ina uhusiano wowote na mzozo wa Iran-na Marekani. Kikosi cha uokoaji tayari kimetumwa katika eneo la tukio karibu na uwanja wa ndege, eneo ambalo ndege lilianguka. Credit: GettyImage " Ndege imeshika moto na tumetuma kikosi huko ... ," kiongozi wa huduma za dharura Pirhossein Koulivand,ameviambia vyombo vya habari ambapo Reuters imeripoti. Je tutegemee machafuko zaidi kutokea? Endelea kuwa pamoja nasi bega kwa bega, mshirikishe na mwenz...