Watoto Uingereza kuanza kufundishwa zaidi kukabiliana na ‘likes’ za mitandao ya kijamii kuanzia shule za msingi
By Reuben Paul
Kamishna wa Elimu nchini Uingereza Anne Longfield ameweka msisitizo watoto kuanzia shule za msingi nchini humo kufundishwa zaidi kuhusu uelewa wa masuala ya digitali ili kuwasaidia kuepukana na shinikizo la mitandao ya kijamii.
Hii imetokana na uchunguzi uliofanywa nchini humo na kugundua kuwa watoto wengi chini ya miaka 13 kutokana na mitandao ya kijamii akili na muda wao hujikita katika kupata likes na kutengeneza mwonekano wao wanaotaka uonekane kwenye mitandao hiyo.
Uchunguzi huu umebaini pia kuwa matumizi yaliyokithiri ya mitandao hii kwa watoto yanawafanya wajishushe kwenye nyanja mbalimbali kutokana na watu wanao wa-follow kuonekana wako juu zaidi yao kwa namna tofauti tofauti husuani watu maarufu.
Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...
Comments