Skip to main content

Rais wa Ufilipino Duterte amewaonya Trump na Kim Jong-un kuwa wanataka kuangamiza Dunia

Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amemtumia onyo kali rais wa Korea Kaskazini na kumuonya vikali Rais Donald Trump.

Rais Duterte ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mashariki mwa Bara la Asia (Association of Southern East Asian Nations- ASEAN) alimpigia simu Rais Donald Trump mapema siku ya jumamosi jana jioni.

Alisikika kwa uoga wake wa uwezekqno mkubwa wa kuweza kutokea vita ya nyuklia na hasa nchi yake ikiwa karibu sana na hizo nchi mbili zenye mzozo.
Rais Duterte alisema kwa namna hiyo basi watakuwa wahanga wakubwa kama vita hiyo itatokea, aliongeza na kusema kuwa na vita ni lqzima mmojq wao atakosea na kuweza kuishambulia mpaka nchi yake na kwa namna yoyote ile wanaweza kuleta majanga makubwa hasa Catastrophe.

Rais Duterte alisema ni bora vita hiyo isitokee na hata kama ikitokea alimwambia Donald Trump asiichezee mikononi mwake au nchini mwake Trump.Maana Kim Jong-un anaonekana mwenye furaha sana maana anataka kuuangamiza ulimwengu.

Maneno haya ya Duterte yalikuja baada ya jaribio la kurusha bomu lao jana kushindwa.

Lakini pia katika taarifa nyingine leo Rais Trump amenukuliwa akisema anajua huu mgogoro hautaweza kutatuliwa kwa njia ya kidiplomasia sasa hatavumilia watakapofanya jaribio lingine la bomu, na anajua hilo bomu la jana halikuwa la nyuklia ila atakaporusha bomu la Nyuklia kama jaribio hatavumilia tena.

Usikose kujiunga nami kwa taarifa zingine za habari kutoka hapahapa @ReubenHabariTz

Comments

Popular posts from this blog

DAWA YA ASILI NA USAFI KWA WANAWAKE NI MUHIMU

Dawa ya Uchafu Ukeni Kwa kawaida mwanamke hutokwa na majimaji mepesi (vaginal fluids) yenye rangi nyeupe au ya njano. Inapotokea anatokwa na majimaji yenye ute mzito wenye rangi nyeupe au kahawia na yanatoa harufu kali na muwasho, hiyo huwa ni ishara ya ugonjwa uitwao wa kutokwa uchafu ukeni ujulikanao kwa kitaalamu kama ‘Vaginosis’. Mwanamke mwenye tatizo hili hujisikia vibaya na anaweza akaacha kushiriki tendo la ndoa ama kwa kuhofia maumivu au kwa kuona aibu kwani mwanaume ni vigumu kuvumilia harufu hiyo au hata kuuona tu huo ute ute kwani humjengea hisia kwamba mwenza wake atakuwa na magonjwa ya zinaa au si mwaminifu kwa ujumla. Kinachosababisha kutokwa na uchafu ukeni: • Kuwa na wapenzi wengi • Baadhi ya dawa za uzazi wa mpango • Kusafisha uke kwa kutumia dawa zenye kemikali • Uchafu • Uvutaji sigara • Pombe • Maambukizi ya Bakteria au bakteria wabaya wanapozidi ukeni Dalili: • Kutokwa na uchafu us...

FAIDA ZA MAZIWA YA SOYA MWILINI

DONDOO ZA AFYA........!!!! MAAJABU YA SOYA MWILINI. MAAJABU YA SOYA MWILINI. Soya ni zao la jamii ya mikunde lenye aina nyingi za matumizi; ni zao linalofaa kwa chakula cha binadamu na wanyama na pia ni zao la biashara. Zao hilo lina kiasi kingi cha protini yenye ubora wa hali ya juu kuliko kiasi kilichopo katika aina nyingine ya mazao ya mimea.ZK  taasisi inayojishughuliza na uzalishaji wa bidhaa za vyakula lishe na mimea na matunda, vinavyoweza kutiba magonjwa mbalimbali wamezalisha maziwa ya Soya ambayo yana  kiasi cha protini inayozidi hata kiasi cha protini katika nyama, mayai na maziwa. Hii inamaanisha kuwa maziwa ya soya ni chanzo rahisi na cha bei nafuu cha protini hasa kwa watu wenye kipato kidogo ambao hawawezi kumudu gharama za vyanzo vingine vya protini kama nyama, maziwa na samaki. Aidha, maziwa ya soya yanaa mafuta bora yasiyo kuwa na lehemu (cholesterol). Uwingi na ubora wa protini katika maziwa ya soya yanaweza kuondoa utapiamlo hususani kwa watoto na kuwao...

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...