Skip to main content

Rais wa Ufilipino Duterte amewaonya Trump na Kim Jong-un kuwa wanataka kuangamiza Dunia

Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amemtumia onyo kali rais wa Korea Kaskazini na kumuonya vikali Rais Donald Trump.

Rais Duterte ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mashariki mwa Bara la Asia (Association of Southern East Asian Nations- ASEAN) alimpigia simu Rais Donald Trump mapema siku ya jumamosi jana jioni.

Alisikika kwa uoga wake wa uwezekqno mkubwa wa kuweza kutokea vita ya nyuklia na hasa nchi yake ikiwa karibu sana na hizo nchi mbili zenye mzozo.
Rais Duterte alisema kwa namna hiyo basi watakuwa wahanga wakubwa kama vita hiyo itatokea, aliongeza na kusema kuwa na vita ni lqzima mmojq wao atakosea na kuweza kuishambulia mpaka nchi yake na kwa namna yoyote ile wanaweza kuleta majanga makubwa hasa Catastrophe.

Rais Duterte alisema ni bora vita hiyo isitokee na hata kama ikitokea alimwambia Donald Trump asiichezee mikononi mwake au nchini mwake Trump.Maana Kim Jong-un anaonekana mwenye furaha sana maana anataka kuuangamiza ulimwengu.

Maneno haya ya Duterte yalikuja baada ya jaribio la kurusha bomu lao jana kushindwa.

Lakini pia katika taarifa nyingine leo Rais Trump amenukuliwa akisema anajua huu mgogoro hautaweza kutatuliwa kwa njia ya kidiplomasia sasa hatavumilia watakapofanya jaribio lingine la bomu, na anajua hilo bomu la jana halikuwa la nyuklia ila atakaporusha bomu la Nyuklia kama jaribio hatavumilia tena.

Usikose kujiunga nami kwa taarifa zingine za habari kutoka hapahapa @ReubenHabariTz

Comments

Popular posts from this blog

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

Ndege ya Ukraine yaanguka Iran ikiwa na abiria 180, Abiria wote wafariki

Ndege ya Ukraine aina ya Boeing-737 iliyokuwa na abiria 180 imeanguka Iran, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Watoa huduma wa msalaba mwekundu wa Iran wanasema kuwa hakuna dalili yeyote kama kuna mtu aliyepona katika ajali hiyo. Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la kimataifa la ndege la Ukraine ilianguka muda mfupi baada ya kuanza safari katika uwanja wa ndege wa Imam Khomeini mjini Tehran. Ripoti za awali zinadai kuwa ndege hiyo ilikuwa safarini kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv.  Haijabainika ikiwa ajali hiyo ina uhusiano wowote na mzozo wa Iran-na Marekani. Kikosi cha uokoaji tayari kimetumwa katika eneo la tukio karibu na uwanja wa ndege, eneo ambalo ndege lilianguka. Credit: GettyImage " Ndege imeshika moto na tumetuma kikosi huko ... ," kiongozi wa huduma za dharura Pirhossein Koulivand,ameviambia vyombo vya habari ambapo Reuters imeripoti. Je tutegemee machafuko zaidi kutokea? Endelea kuwa pamoja nasi bega kwa bega, mshirikishe na mwenz...