Skip to main content

Posts

WATUHUMIWA WA ESCROW WAONGEZEWA MASHITAKA MDA MFUPI ULIOPITA

Watuhumiwa wa kesi ya Escrow kuongezewa mashtaka nchini Tanzania Saa moja iliyopita Hivi ni viunganisho vya nje na vitafungua katika dirisha mpya Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Twitter   Mshirikishe mwenzako HakiGOOGLEImageMmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Singh Sethi na mfanyabiashara James Rugemarila Mmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Singh Sethi na mfanyabiashara James Rugemarila wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 12, badala ya mashtaka sita waliyosomewa awali. Miongoni mwa mashtaka hayo 12 ya uhujumu uchumi yamo mashtaka matano ya kutakatisha fedha na kuisababisha hasara ya USD 22, 198,544.60 na Sh 309,461,300,158.27(USD 138,275.82). Mashtaka hayo yanayowakabili ni pamoja na kula njama, kujihusisha mtandao wa uhalifu , kughushi nyaraka, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu, kuisababishia Serikali h...

JE WAIFAHAMU HOMA YA INI NA MADHARA YAKE

* HEPATITIS( Homa ya ini )* Hepatitis B ni maambukizi mabaya sana ya kirusi aitwaye hepatitis B virus (HBV) kwenye  maini. Kwa watu wengine ugonjwa huu huweza kuchukua zaidi ya miezi 6 (chronic). Ugonjwa huu ukichukua muda mrefu unaweza kuleta madhara ya kufeli kwa ini, kansa ya ini au liver cirrhosis hali ambayo itaacha makovu ya kudumu kwenye maini. Watu wengi wanaougua ugonjwa huu hupona kabisa. Kuna chanjo ya kusaidia kuzuia hepatitis B lakini hakuna tiba pale ambapo tayari utakuwa umeambukizwa virusi wa hepatitis B. Ukishaambukizwa yafaa kuchukua tahadhari za kusaidia kutowaambukiza watu wengine. *Dalili Za Hepatitis B* Dalili za hepatitis B huanza kuonekana baada ya mwezi mmoja hadi minne baada ya kupata maambukizi, nazo ni: . Maumivu ya tumbo . Mkojo mweusi . Homa . Maumivu ya joints . Kukosa hamu ya kula . Kichefuchefu na kutapika . Udhaifu wa mwili na mwili kukosa nguvu . Macho na ngozi kugeuka rangi na kuwa vya njano *Chanzo Cha Hepatitis B* Ugomjwa wa he...

YATAMBUE MAFUTA MABAYA MWILINI YA KOLESTEROLI

** CHOLESTEROL HATARI KWA AFYA ** IJUE OMEGA 3:6:9 KATIKA AFYA YAKO kumekuwa na changamoto nyingi katika miili yetu hasa katika mifumo ya mzunguko wa damu na utolewaji wa homoni, Kutokana na mifumo ya ulaji, maisha na jinsi ya shughuli zetu za kila siku hivyo miili yetu inakosa uwezo wa kuyeyusha mafuta mabaya. Kutokana na changanoto hizo ya ulaji na kutofanya mazoezi ili kuruhusu kuondoa mafuta mabaya yaani cholestrol. Mafuta haya huganda ndani ya mishipa ya damu itokayo kwenye moyo kuelekea sehemu zote za mwili,   Mfano: *Arteries, vein,* Mishipa hii ikizongwa na mafuta mabaya huathiri utendaji wa moyo, Huzuia seli nyekundu za damu ambazo huchukuliwa katika na kusafirishwa kupitia mirija hiyo *ARCTIC SEA NI NINI* Ni mchanganyiko wa mafuta ya samaki, pweza, na mizeituni, hufanya kazi mda mfupi baada ya kuchanganyikana na kitu chenye joto mwilini au maji. *Manufaa* -Kuyeyusha mafuta mabaya katika mishipa ya damu ili kuruhusu mzunguko wa damu kuwa mzuri. Hivyo kusaidi...

IJUE AFYA YAKO LEO ILI UIJENGE KESHO YAKO VIZURI

IJUE AFYA YAKO Kwanini ni mhimu kudhibiti uzito au kitambi?? -kuwa na monekano mzuri -kuepuka kuzeeka mapema -kupunguza matatizo ya viungo kama miguu -kupunguza kasi ya magonjwa yasiyo ambukizi mfn.pressure, kisukari,kansa,moyo,figo,saratani ya tezi dume, kupata ugumba,upungufu wa nguvu za kiume na vimbe katika kizazi kwa wanawake. Je umewahi kujiuliza maswali haya ? a)Kwanini unanenepa? b)Kwanini unataka kupungua? c)Njia gani salama kiafya kutumika ili kupungua Njia kuu tatu watu wengi hutumia i) Mazoezi, vyakula bora na kunywa maji mengi ii) Kufanya diet mfn.kuacha kula au kutumia vyakula vyepesi, mboga na matunda (suicidal dieting) iii) Kutumia bidhaa lishe yaani nurition supplements. IJUE FOREVER C9 YENYE VANILLA AMINOTEIN Clean 9 ni program ya siku tisa iliyoandaliwa maalum kuuandaa mwili wako katika safari ya kupungua uzito, program hii ina bidhaa tano yaani      -Aloe vera gel      -Ultra lite vanilla    ...

EPUKA CONSTIPATION KWA KUNYWA KINYWAJI ASILIA

JENGA AFYA , EPUKA CONSTIPATION NA KINYWAJI ASILIA Leo napenda kuwashirikisha umhimu wa kuhakikisha tunapata Choo kwa wakati, Choo laini na kuepuka kupatwa na tatizo la salatan ya utumbo yaani COLON CANCER wataalam wa afya na tafiti za afya wanaeleza kuwa takribani 90% ya magonjwa mengi hutokana na mmeng'enyo mbovu wa chakula Kwa mfano, tulapo chakula kinapaswa kupita hatua tatu hadi kufikia hitaji la mwili a) usafishaji... Cleansing b) Ufyonzwaji.. Absorption c) Ufanano... Assimilation Hizi ni hatua tatu mhimu ambazo huitwa NUTRITION STAGES kitaalam Ili chakula kifyonzwe ni lazma vinundu vipatikanavyo ndani ya utumbo mwembamba (small intestinal villai) viwe safi kuruhusu virutubisho yakiwemo madini kunyonywa kirahisi. Kitendo hiki huweza kuruhusu mishipa ya damu kubeba virutubisho kupeleka katika seli za mwili >tisue >organ>mfumo wa mwili (body systems )>mwanadam (human body) Hivyo ni mhimu kusafisha sumu, kemikali, na mafuta mabaya yaliyoganda kwenye utu...

MFUMO WA VIUNGO (MUSCULAR SKELETAL)

🌸MFUMO WA VIUNGO (Mascular skeletal) na  ALOE FREEDOM Kwa kawaida mwili wa binadamu huhitaji mjongeo (mobility). Mjongeo huu hutegemea sana uwezo wa mwili kuzalisha uteute mhimu uitwao Synovial fluid, kwani ndio grease ya mwili kusaidia viunga vya mwili kama joint za Miguu, mikono, nyonga n.k.kutosagana au kugusana. Ute huu uitwao synovial fluid hupungua mwilini kutegemea na umri kuongezeka. Hii ni kutokana na ukweli kwamba mili yetu haina uwezo wa kuendelea kutengeneza ute huu mhimu. Ni mhimu kutambua changamoto zitokanazo na upungufu au muisho wa ute huu   Mfano: √ Mifupa kuuma √Miguu kuwaka moto √ Viunga kuuuma √ Maumivu ya nyonga na magoti Viunga vya mwili hutegemea na uwepo wa viambato vya madini ya • Glacosamine sulphate hii hutumika kutengeneza gegedu yaani CARTILAGE, tendones •Chondriotin sulphate hii hutumika kutengeneza ute ute mzito ulio kama grease yaani (Synovial fluid) ambao ni mhimu katika mjongeo •Me...

JE UNALITAMBUA TATIZO LA U.T.I KWA UNDANI ZAIDI?

👍 MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO (URINARY TRACT INFECTIONS -UTIs) Neno U.T.I si geni masikioni mwa wengi, kwani ni wengi leo utawasikia “naumwa U.T.I”. Japo si wote hulitumia kisahihi. Wengine wana tatizo ambalo ni tofauti na U.T.I, lakini anaweza akaenda hata duka la dawa na kuomba apatiwe dawa za U.T.I. Leo nimeona tubadilishane elimu juu ya hili tatizo, angalau kila mmoja awe na uelewa U.T.I ni nini hasa, inasababisha na nini, na ni jinsi gani anaweza kujikinga. U.T.Is, ni kifupisho cha Urinary Tract Infections, ambayo kwa lugha yetu ni maambukizi ya njia ya mkojo. Kama linavyojieleza, kwamba maambukizi ni lazima yawe ni kwenye njia ya mkojo ndipo tunaita ni U.T.I, na si pengine popote. Una uchafu unatoka ukeni, hiyo ni kitu kingine tofauti nk. Tunapozungumzia njia ya mkojo, ni kutoka eneo la nje hadi kwenye kibofu, na kutoka kwenye kibofu hadi kwenye figo. Kama maambukizi yako eneo la kutoka kwenye kibofu hadi kwenye figo(ikihusisha na figo pia), inaitwa Lowe...