Skip to main content

MFUMO WA VIUNGO (MUSCULAR SKELETAL)

🌸MFUMO WA VIUNGO (Mascular skeletal) na  ALOE FREEDOM

Kwa kawaida mwili wa binadamu huhitaji mjongeo (mobility). Mjongeo huu hutegemea sana uwezo wa mwili kuzalisha uteute mhimu uitwao Synovial fluid, kwani ndio grease ya mwili kusaidia viunga vya mwili kama joint za Miguu, mikono, nyonga n.k.kutosagana au kugusana.

Ute huu uitwao synovial fluid hupungua mwilini kutegemea na umri kuongezeka. Hii ni kutokana na ukweli kwamba mili yetu haina uwezo wa kuendelea kutengeneza ute huu mhimu.

Ni mhimu kutambua changamoto zitokanazo na upungufu au muisho wa ute huu
  Mfano:
√ Mifupa kuuma
√Miguu kuwaka moto
√ Viunga kuuuma
√ Maumivu ya nyonga na magoti

Viunga vya mwili hutegemea na uwepo wa viambato vya madini ya
• Glacosamine sulphate hii hutumika kutengeneza gegedu yaani CARTILAGE, tendones

•Chondriotin sulphate hii hutumika kutengeneza ute ute mzito ulio kama grease yaani (Synovial fluid) ambao ni mhimu katika mjongeo

•MethyliSupholymethane (MSM) hii huzalisha protein mhimu ili seli na tissue katika mwili hususani mifupa ziishi. Wataalam huita ni (Abundant component) ni kamponenti mhimu mno kwani ili seli za mifupa zizaliwe huhitaji protein hii

MANUFAA YA Aloe  forever freedom

Kutokana na kusheheni kiwango kikubwa cha Glacosamine sulphate, chondriotin sulphate, MSM, vitamin C hufanya yafuatayo

√ Kulinda viungio
√ kusaidia mifupa isipasuke kwa kusuguana
√ kusaidia maumivu ya mifupa
√ kusaidia kuondoa tatizo la Miguu kuwaka moto
√ kujenga mifupa kwa kuzalisha seli na tissue

MHIMU:
    serving 1ya  Aloe freedom itakupa
1500mg za Glacosamine, 1200mg za chondroitin, 750mg za MSM na 250 gm za vitamin C

Tuwapende wazee wetu, kwani wanahangaika kutembea na fimbo barabarani.

Share na wengine waone

Comments

Popular posts from this blog

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

Ndege ya Ukraine yaanguka Iran ikiwa na abiria 180, Abiria wote wafariki

Ndege ya Ukraine aina ya Boeing-737 iliyokuwa na abiria 180 imeanguka Iran, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Watoa huduma wa msalaba mwekundu wa Iran wanasema kuwa hakuna dalili yeyote kama kuna mtu aliyepona katika ajali hiyo. Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la kimataifa la ndege la Ukraine ilianguka muda mfupi baada ya kuanza safari katika uwanja wa ndege wa Imam Khomeini mjini Tehran. Ripoti za awali zinadai kuwa ndege hiyo ilikuwa safarini kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv.  Haijabainika ikiwa ajali hiyo ina uhusiano wowote na mzozo wa Iran-na Marekani. Kikosi cha uokoaji tayari kimetumwa katika eneo la tukio karibu na uwanja wa ndege, eneo ambalo ndege lilianguka. Credit: GettyImage " Ndege imeshika moto na tumetuma kikosi huko ... ," kiongozi wa huduma za dharura Pirhossein Koulivand,ameviambia vyombo vya habari ambapo Reuters imeripoti. Je tutegemee machafuko zaidi kutokea? Endelea kuwa pamoja nasi bega kwa bega, mshirikishe na mwenz...