Skip to main content

YATAMBUE MAFUTA MABAYA MWILINI YA KOLESTEROLI

**CHOLESTEROL HATARI KWA AFYA**

IJUE OMEGA 3:6:9 KATIKA AFYA YAKO

kumekuwa na changamoto nyingi katika miili yetu hasa katika mifumo ya mzunguko wa damu na utolewaji wa homoni,

Kutokana na mifumo ya ulaji, maisha na jinsi ya shughuli zetu za kila siku hivyo miili yetu inakosa uwezo wa kuyeyusha mafuta mabaya.

Kutokana na changanoto hizo ya ulaji na kutofanya mazoezi ili kuruhusu kuondoa mafuta mabaya yaani cholestrol. Mafuta haya huganda ndani ya mishipa ya damu itokayo kwenye moyo kuelekea sehemu zote za mwili,
  Mfano: *Arteries, vein,*
Mishipa hii ikizongwa na mafuta mabaya huathiri utendaji wa moyo,

Huzuia seli nyekundu za damu ambazo huchukuliwa katika na kusafirishwa kupitia mirija hiyo

*ARCTIC SEA NI NINI*
Ni mchanganyiko wa mafuta ya samaki, pweza, na mizeituni, hufanya kazi mda mfupi baada ya kuchanganyikana na kitu chenye joto mwilini au maji.

*Manufaa*
-Kuyeyusha mafuta mabaya katika mishipa ya damu ili kuruhusu mzunguko wa damu kuwa mzuri. Hivyo kusaidia kuepuka au kupunguza changamoto ya kupasuka kwa mishipa ya damu au fahamu (stroke and heart attack)

-Kubalance homoni za kike na kiume ili kusaidia  utendaji kazi wa mfumo wa  uzazi mfano; mzunguko wa hedhi na uzalishwaji wa mbegu za kiume,

-Kusaidia seli za macho, ubongo na moyo ili kuratibu uonani sawia, kutunza kumbukumbu na uzalishaji hemoglobin.

-Ni lishe bora kwa wenye changamoto ya vimbe na ngozi
+

Comments

Popular posts from this blog

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

Ndege ya Ukraine yaanguka Iran ikiwa na abiria 180, Abiria wote wafariki

Ndege ya Ukraine aina ya Boeing-737 iliyokuwa na abiria 180 imeanguka Iran, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Watoa huduma wa msalaba mwekundu wa Iran wanasema kuwa hakuna dalili yeyote kama kuna mtu aliyepona katika ajali hiyo. Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la kimataifa la ndege la Ukraine ilianguka muda mfupi baada ya kuanza safari katika uwanja wa ndege wa Imam Khomeini mjini Tehran. Ripoti za awali zinadai kuwa ndege hiyo ilikuwa safarini kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv.  Haijabainika ikiwa ajali hiyo ina uhusiano wowote na mzozo wa Iran-na Marekani. Kikosi cha uokoaji tayari kimetumwa katika eneo la tukio karibu na uwanja wa ndege, eneo ambalo ndege lilianguka. Credit: GettyImage " Ndege imeshika moto na tumetuma kikosi huko ... ," kiongozi wa huduma za dharura Pirhossein Koulivand,ameviambia vyombo vya habari ambapo Reuters imeripoti. Je tutegemee machafuko zaidi kutokea? Endelea kuwa pamoja nasi bega kwa bega, mshirikishe na mwenz...