Skip to main content

EPUKA CONSTIPATION KWA KUNYWA KINYWAJI ASILIA

JENGA AFYA, EPUKA CONSTIPATION NA KINYWAJI ASILIA
Leo napenda kuwashirikisha umhimu wa kuhakikisha tunapata Choo kwa wakati, Choo laini na kuepuka kupatwa na tatizo la salatan ya utumbo yaani COLON CANCER

wataalam wa afya na tafiti za afya wanaeleza kuwa takribani 90% ya magonjwa mengi hutokana na mmeng'enyo mbovu wa chakula

Kwa mfano, tulapo chakula kinapaswa kupita hatua tatu hadi kufikia hitaji la mwili

a) usafishaji... Cleansing

b) Ufyonzwaji.. Absorption

c) Ufanano... Assimilation

Hizi ni hatua tatu mhimu ambazo huitwa NUTRITION STAGES kitaalam

Ili chakula kifyonzwe ni lazma vinundu vipatikanavyo ndani ya utumbo mwembamba (small intestinal villai) viwe safi kuruhusu virutubisho yakiwemo madini kunyonywa kirahisi.

Kitendo hiki huweza kuruhusu mishipa ya damu kubeba virutubisho kupeleka katika seli za mwili >tisue >organ>mfumo wa mwili (body systems )>mwanadam (human body)

Hivyo ni mhimu kusafisha sumu, kemikali, na mafuta mabaya yaliyoganda kwenye utumbo ili kuwa na afya njema kwani chalupa kikikaa ndani kwa mda mrefu huoza na kuzalisha bacteria hatarishi ambao huanza kushambulia kuta za utumbo na kusababisha vidonda vya tumbo (gastric ulcers ).

Kula matunda na mbogamboga,  kunywa maji mengi na fanya mazoez

Kwa matokeo mazuri zaidi tumia kinywaji halis cha aloe vera

Comments

Popular posts from this blog

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

Ndege ya Ukraine yaanguka Iran ikiwa na abiria 180, Abiria wote wafariki

Ndege ya Ukraine aina ya Boeing-737 iliyokuwa na abiria 180 imeanguka Iran, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Watoa huduma wa msalaba mwekundu wa Iran wanasema kuwa hakuna dalili yeyote kama kuna mtu aliyepona katika ajali hiyo. Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la kimataifa la ndege la Ukraine ilianguka muda mfupi baada ya kuanza safari katika uwanja wa ndege wa Imam Khomeini mjini Tehran. Ripoti za awali zinadai kuwa ndege hiyo ilikuwa safarini kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv.  Haijabainika ikiwa ajali hiyo ina uhusiano wowote na mzozo wa Iran-na Marekani. Kikosi cha uokoaji tayari kimetumwa katika eneo la tukio karibu na uwanja wa ndege, eneo ambalo ndege lilianguka. Credit: GettyImage " Ndege imeshika moto na tumetuma kikosi huko ... ," kiongozi wa huduma za dharura Pirhossein Koulivand,ameviambia vyombo vya habari ambapo Reuters imeripoti. Je tutegemee machafuko zaidi kutokea? Endelea kuwa pamoja nasi bega kwa bega, mshirikishe na mwenz...