Skip to main content

Posts

Marekani iko 'tayari kufanya mazungumzo' na Iran

aza habari hii Facebook   ambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha EPA Marekani imesema iko "tayari kujadiliana na Iran bila masharti" baada uhasama uliozuka baina ya nchi hizo kufuatia mauaji ya jenerali Qasim Soleimani. Katika waraka wake kwa Umoja wa Mataifa, Marekani ilijitetea kuwa ilimuua jenerali wa jeshi la Iran Qasem Soleimani kama hatua ya kujilinda.  Iran ilijibu hatua hiyo kwa kushambulia kwa makombora kambi ya majeshi ya Marekani nchini Iraq japo hakuna mtu aliyejeruhiwa. Jenerali Soleimani ilichukuliwa kuwa afisa wa pili wa ngazi ya juu nchini Iran. Iran yashambulia kwa makombora kambi za kijeshi za Marekani nchini Iraq Gharama za mafuta zapanda baada ya mashambulizi Iraq Kama mkuu wa kikosi maalum cha Quds Force, katika jeshi la ulinzi la Revolutionary Guards' alilikuwa mtekelezaji wasera za Iran katika eneo la mashariki ya kati. ...

Ndege ya Ukraine yaanguka Iran ikiwa na abiria 180, Abiria wote wafariki

Ndege ya Ukraine aina ya Boeing-737 iliyokuwa na abiria 180 imeanguka Iran, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Watoa huduma wa msalaba mwekundu wa Iran wanasema kuwa hakuna dalili yeyote kama kuna mtu aliyepona katika ajali hiyo. Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la kimataifa la ndege la Ukraine ilianguka muda mfupi baada ya kuanza safari katika uwanja wa ndege wa Imam Khomeini mjini Tehran. Ripoti za awali zinadai kuwa ndege hiyo ilikuwa safarini kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv.  Haijabainika ikiwa ajali hiyo ina uhusiano wowote na mzozo wa Iran-na Marekani. Kikosi cha uokoaji tayari kimetumwa katika eneo la tukio karibu na uwanja wa ndege, eneo ambalo ndege lilianguka. Credit: GettyImage " Ndege imeshika moto na tumetuma kikosi huko ... ," kiongozi wa huduma za dharura Pirhossein Koulivand,ameviambia vyombo vya habari ambapo Reuters imeripoti. Je tutegemee machafuko zaidi kutokea? Endelea kuwa pamoja nasi bega kwa bega, mshirikishe na mwenz...

Alikiba na Studio Mpya

Kwa mara ya kwanza mwimbaji Alikiba amezungumzia studio yake mpya baada ya kupost picha za muonekano wake. “Studio yangu mara nyingi napenda kufanya kazi na Producers tofauti, nawaalika na Producers wakubwa wanakuja tunafanya nao kazi vilevile kuna Producers tupo nao ni wachanga, nitasema lini zitaanza kufanya kazi ila bado tunafanya kazi, ni kwaajili ya King’s Music, Tutawapa updates baadae kama ni studio za video au audio tu”

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

Sheria ya kusajili blog yafutwa na Mahakama Kuu Kenya

Mahakama nchini kenya imetupilia mbali sheria mpya ya mitandao ya kutaka vyombo vya habari vya mitandao zikiemo blog kusajiliwa. Chama cha Wanablogu wa Kenya (BAKE) na Umoja wa Kenya wa Waandishi wa Habari (KUJ) kwa mafanikio waliomba rufaa kuzuia sheria hiyo   ambayo ilisainiwa  na Rais Uhuru Kenyatta wiki mbili zilizopita Jumanne, hakimu wa mahakama ya juu Chacha Mwita aliorodhesha vipengele 26 vya sheria hiyo   ambavyo vitaathiri haki na uhuru wa msingi wa kujieleza.  Mkurugenzi wa BAKE James Wamathai alisema: "vipengele hivi vinatakiwa kudhibiti habari za uwongo lakini kwa bahati mbaya hiyo ni kinyume na katiba ... kuna sheria zilizopo za kukabiliana na kesi wakati mtu amelala, hatuhitaji hili." Nchi nyingine za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania   zimepitisha sheria ambazo wanaharakati wanalalamika kuzuia uhuru wa kujieleza. Mnamo Aprili, Uganda ilitangaza mipango ya kutoza kodi watumiaji wa vyombo vya habari vya mitandaoni.

Babu Tale Anakabiliwa na Kesi ya Madai ya Mil 250

Mkurugenzi wa Tip Top Connection Hamis Taletale a.k.a Babu Tale ameachiwa huru toka Kituo Kikuu cha Polisi DSM. Tale anakabiliwa na kesi ya madai ya fidia ya shilingi milioni 250 baada ya kushtakiwa kwa kosa la kutumia kazi ya Mhadhiri Sheikh Hashim Mbonde bila ridhaa yake. Kwa habari nyingine bonyeza hapa !

Breaking News! Mwanafunzi Muhimbili Akutwa Amekufa Chumbani Kwake

Hivi Punde: Mwanafunzi wa mwaka wa tatu Shahada ya Famasia katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Edward Kahitwa amekutwa akiwa amefariki chumbani kwake, chuoni hapo. Afisa Uhusiano wa chuo hicho, Hellen Mtui amethibitisha.

RC MAKONDA APOKEA VIFAA VYENYE THAMANI MILION 400 KWAAJILI YA UJENZI WA OFISI ZA WALIMU

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo amekabidhiwa vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya shilingi Million 400 kutoka kiwanda cha MMI Steel ltd kwaajili ya kampeni ya ujenzi wa ofisi 402 za walimu Dar es salaam. Vifaa alivyokabidhiwa ni Mabati 15,000 yenye thamani ya shilingi Million 360, Nondo Tani 22 zenye thamani ya million 40 ambapo kiwanda hicho kimemuahidi tena kumpatia RC Makonda vifaa vingine ikiwemo Rangi, Nondo na Mabati. Akipokea vifaa hivyo RC Makonda ameshukuru kiwanda cha MMI Steel chini ya mkurugenzi wake Subhash Patel kwa kuwa mdau mkubwa wa kampeni ya ujenzi wa ofisi za walimu na kuwasihi wadau na wananchi kujitokeza kuchangia kampeni hiyo ili kutoa heshima kwa walimu. Aidha RC Makonda amesema kampeni ya ujezi wa ofisi za walimu inaendelea vizuri ambapo hivi karibuni atapokea kontena nyingine 16 za furniture kutoka Marekani, Kontena 10 za Vitabu kwaajili ya Maktaba ya jamii kutoka Marekani, Kontena 10 za vifaa tiba kutoka uingereza na kontena 10 za ...

Jimbo la Mbagala Kutenganishwa-Ofisi ya Rais TAMISEMI

Serikali kupitia Ofisi ya Rais-TAMISEMI imeadhimilia kuligawa Jimbo la Mbagala lililopo jijini Dar es Salaam baada ya kuwepo kwa idadi kubwa ya wakazi wanaoishi jimboni humo na kusababisha uhaba wa upatikanaji wa huduma muhimu kutoka kwa Mbunge wao. Soma habari zingine hapa

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Ustawishaji Makao Makuu Apandishwa Kizimbani

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA), Paskas Muragili na mwenzake mmoja wamepandishwa kizimbani kwa kutumia madaraka vibaya. Wanatuhumiwa kutokuweka wazi maslahi yao walipotoa zabuni ya TZS 86.1m kwa Glaciaer Investment

Serikali Imekanusha Kuhusiana Kuwakandamiza Haki za Wamasai Loliondo

Wizara ya Maliasili na Utalii imekanusha taarifa ya taasisi ya Oakland ya nchini Marekani kuwa, serikali ya Tanzania inadaiwa kukandamiza haki za Wamasai wanaoishi Loliondo. Imeeleza kuwa serikali imechukua hatua stahiki kutatua mgogoro katika eneo hilo na itatoa taarifa rasmi. Soma habari zingine kwa kina bonyeza hapa

Serikali imefuta leseni za wanaohodhi maeneo ya madini

Serikali imefuta leseni zote za kuhodhi maeneo ya madini na wamiliki wake kutakiwa kuomba upya wakizingatia sheria ya madini na kanuni zake. M/kiti wa Tume ya Madini, Prof. Idris Kikula amesema, maeneo yote yaliyopewa leseni yanarejeshwa serikalini bila hakikisho la kupewa tena.

Rais wa Ghana Asimamishwa Kazi na Majaji

Rais wa Ghana, Nana Akufo-Addo amewasimamisha kazi majaji wanne wa mahakama kuu, baada ya kunaswa kwenye mkanda wa video wakipokea rushwa na mwingine akitaka rushwa ya ngono, ili kushinikiza uamuzi wa kesi.

France Chaos in Paris Opera knife attack, one man killed and 4 injured

One killed, 4 others injured in Paris knife attack: police The incident took place in Opera district of central Paris, and the site was about 400 meters away from Paris Opera House. PARIS - A man randomly attacked bystanders with a knife on Saturday night in central Paris, Paris prefecture confirmed. "Five people in the 2nd district of Paris were attacked by an individual armed with a knife," the prefecture tweeted. "One victim died. Two were seriously injured and two were wounded slightly," it added. The knife attacker, not identified yet, was shot dead by police. The incident took place in Opera district of central Paris, and the site was about 400 meters away from Paris Opera House. French Interior Minister Gerard Collomb denounced "heinous act" and praised police "composure" and swift reaction to neutralize the attacker. Citing a police source, French newspaper Le Figaro reported that the operating mode of the attacker, who shouted so...

R. Kelly has Accused for Sexually Abusing Minor, See What Next!

Photo by Michael Loccisano/Getty Images Spotify has announced that it will no longer promote the music of R. Kelly,  Billboard reports . Kelly’s music will remain available on the streaming service, but it won’t appear on any of the playlists that Spotify curates. The change comes under Spotify’s new  Hate Content & Hateful Conduct policy , which it developed in partnership with advocacy groups, including the Southern Poverty Law Center, the Anti-Defamation League, Color of Change, Showing Up for Racial Justice (SURJ), GLAAD, Muslim Advocates, and the International Network Against Cyber Hate. Under this new policy, Spotify says it will remove content that “expressly and principally promotes, advocates, or incites hatred or violence against a group or individual based on characteristics, including, race, religion, gender identity, sex, ethnicity, nationality, sexual orientation, veteran status, or disability.” Kelly’s music falls under the policy’s “hateful conduct by ...

Mzee wa Miaka zaidi ya 100 aomba kuuliwa kwa sindano ya sumu.

Kesho, madaktari wanatarajiwa kuweka sindano iliyojazwa dawa ya sodium pentobarbital katika mshipa wa Mwanasayansi huyo mkongwe duniani na kumuacha aisukume mwenyewe kwenda mwilini mwake. David Goodall amelazimika kusafiri kutoka Australia mpaka Basel, Uswisi kukifuata kifo baada ya sheria za kwao kutomruhusu kufanya hivyo. Akihojiwa na shirika la utangazaji la Marekani CNN, Goodall amesema maisha yake hayana thamani tena ndio maana ameamua kuomba kujiua akiamini hadithi yake itakuwa mfano na kuhamasisha uamuzi kama huo kwa wengine waliochoka kuishi. Katika mahojiano David Goodall amenukuliwa akisema " Natamani ningekuwa na uwezo wa kutembea mashambani na kuona vitu vinavyonizunguka. "Katika umri huu naamka asubuhi, nakunywa chai. Nasubiri mchana nile halafu sina cha kufanya tena. Maisha ya aina hii ya kazi gani? Goodall aliyezaliwa katika Jiji la London Aprili 1914, anatarajia kufa akiwa na miaka 104 ambapo ameweka wazi kuwa maisha yake yalisimama miak...

Ethiopia Watangaza kununua Bombardier Q400, 10

Shirika la Ndege la Ethiopia (Ethiopian Airlines), limetangaza kununua ndege 10 aina ya Bombadier Q400, kwa gharama ya USD 332 milioni, lengo likiwa ni kupanua soko lake barani Afrika. Ndege hizo zimelengwa kwenda katika maeneo ambayo viwanja vyake haviwezi kuhimili ndege kubwa.

TRA Mwanza Yaanza Kuwapatia Vitambulisho Wafanya biashara wadogo.

TRA Mkoa wa Mwanza imeanza kuwasajili wafanyabiashara wadogo na kuwapatia vitambulisho kwa gharama ya shilingi 10,000  kwa kila mmoja ndani ya miaka 3, lengo likiwa ni kuwatambua ili waweze kulipa kodi na kuondokana na adha ya kusumbuliwa kwenye maeneo wanayofanyia biashara. Kwa habari nyingine zaidi bonyeza hapa