Skip to main content

Rais wa Ghana Asimamishwa Kazi na Majaji

Rais wa Ghana, Nana Akufo-Addo amewasimamisha kazi majaji wanne wa mahakama kuu, baada ya kunaswa kwenye mkanda wa video wakipokea rushwa na mwingine akitaka rushwa ya ngono, ili kushinikiza uamuzi wa kesi.

Comments