Skip to main content

ZITTO KABWE AMJIBU TUNDU LISSU

ZITTO KABWE AMJIBU TUNDU LISSU

"Huu ni uhayawani. Hii ni nchi huru. Kukaribisha wageni kuingilia mambo yetu ni upuuzi na umazwazwa. Tupambane ndani kuleta demokrasia. NDANI" - Zitto Kabwe

"Kama hamtaki kuambiwa ukweli shauri yenu. Ni upuuzi mkubwa kutaka nchi ikatiwe misaada. Ni kasumba ya kikoloni. Ni ujinga usiovumilika" - Zitto Kabwe

"Nataka maendeleo ya watu wetu. Uwekezaji kutoka nje na misaada ni sehemu tu ya juhudi. Mwanasiasa anayetaka nchi inyimwe misaada ni muflisi" - Zitto Kabwe

"Napinga ujinga popote. Leo unamkaribisha mgeni akusaidie Kwa kukata misaada. Ukiingia madarakani si utampa dhahabu yote? Kasumba hovyo kbs" - Zitto Kabwe

"Ndio uuze uhuru wa nchi yako? Misaada Kuwa fimbo Kwa nchi zetu ni jambo la kishamba Sana. Misaada ikikatwa anaumia nani? JPM? Lisu?" - Zitto Kabwe

"Hakuna kupingana. Ninapinga ujinga. Siasa za kukatiwa misaada ni siasa za kizamani, ushamba na kasumba ya kutawaliwa" - Zitto kabwe

"Siasa Ni Maendeleo. Lazima tuonyeshe tofauti Kwa wananchi wetu. Kiongozi lazima ujue lipi la kusema wapi" - Zitto kabwe

Comments

Popular posts from this blog

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

Ndege ya Ukraine yaanguka Iran ikiwa na abiria 180, Abiria wote wafariki

Ndege ya Ukraine aina ya Boeing-737 iliyokuwa na abiria 180 imeanguka Iran, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Watoa huduma wa msalaba mwekundu wa Iran wanasema kuwa hakuna dalili yeyote kama kuna mtu aliyepona katika ajali hiyo. Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la kimataifa la ndege la Ukraine ilianguka muda mfupi baada ya kuanza safari katika uwanja wa ndege wa Imam Khomeini mjini Tehran. Ripoti za awali zinadai kuwa ndege hiyo ilikuwa safarini kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv.  Haijabainika ikiwa ajali hiyo ina uhusiano wowote na mzozo wa Iran-na Marekani. Kikosi cha uokoaji tayari kimetumwa katika eneo la tukio karibu na uwanja wa ndege, eneo ambalo ndege lilianguka. Credit: GettyImage " Ndege imeshika moto na tumetuma kikosi huko ... ," kiongozi wa huduma za dharura Pirhossein Koulivand,ameviambia vyombo vya habari ambapo Reuters imeripoti. Je tutegemee machafuko zaidi kutokea? Endelea kuwa pamoja nasi bega kwa bega, mshirikishe na mwenz...