Skip to main content

LEO KATIKA AFYA YAKO: TANGO LINA FAIDA GANI?

Tango ni tunda moja wapo yenye maji mengi kama vile tikiti maji ,linabeba virutubisho vingi vitamin K,B,C,potasium,manganese .

Tango lina polyphenols ambayo inasaidia kukuepusha kupata maradhi sugu.Ni vizuri mkatumia matanga mara kwa mara kwa kutengeneza juice,kuchanganya kwenye kachumbali (salad)bila kumenya  maganda yake yanabeba virutubisho vizuri,au unaweza weka kwenye mkate na kuchanganya na maji ya kunywa kuyapa ladha na vitamin

 

Umuhimu wa kula tango kwa afya yako

 

1.Kuipa kinga ubongo

Tango lina anti-inflammatory flavonol inayopelekea kuipa kinga ubongo na kukufanya kuwa na kumbukumbu nzuri (improve your memory).

 

2.Kupunguza hatari ya kupata cancer.

Tango linakupunguzia hatari ya kuapata cancer ya maziwa na shemu za uzazi (uterine,mayai ya uzazi (ovari).

 

3.Kutoa harufu mbaya mdomoni.

Kata kipande cha tango weka mdomoni kwa dakika 5 fanya mara 3 kwa siku inataidia kutoa bakteria wafanya kunuka mdomo .

 

4.Kupunguza stress

Tango linavitamins B,vitaminB1 vitaminB5 na vitamini B7 ambazo zinakupunguza stress.

 

5.Kusaidia mmeng’enyo wa chakula.

Tango lina maji maji na fiber inayosaidia mmeng’enyo wa chakula tumboni,kwa wale wenye  tatizo la kupata haja kubwa(constipation) kula tango bila kumenya ganda lake, linabeba fiber itakayo kusaidia kuapa choo kwa urahisi.

 

 

6.Wenye matatizo ya moyo

Tatizo la pressure linaweza kupunguzwa kwa kula matango mara kwa mara sababu tango lina potasium inayofanya kushuka pressure kwa urahisi na salama.

 

7.Kupunguza  hatari ya kupata kisukari,kupunguza cholesterol

8.Kutibu maumivu ya viungo

9.Kufanya kuwa na ngozi laini na kukuza nywele kwa haraka.

 

10.Kupunguza uzito

 

11.Kutumika kutoa alama nyeusi chini ya macho

Kata tango umbo la duara weka kipande kimoja kwa kila jicho, fanga macho ndio uweke kwa juu . Kwa matumizi ya uso(facial ) pia unasaga iwe laini (puree) na paka usoni acha kwa dakika 20 ,kish nawa kwa maji safi itakufanya kuwa soft na fresh.

 

12.Kutoa sumu mwilini

tengeneza juice ya tango,unaweza changanya na apple,spinachi na limao saga pamoja ni njia nzuri ya kutoa sumu mwilini kwa wale wanaotumia madawa

Comments

Popular posts from this blog

DAWA YA ASILI NA USAFI KWA WANAWAKE NI MUHIMU

Dawa ya Uchafu Ukeni Kwa kawaida mwanamke hutokwa na majimaji mepesi (vaginal fluids) yenye rangi nyeupe au ya njano. Inapotokea anatokwa na majimaji yenye ute mzito wenye rangi nyeupe au kahawia na yanatoa harufu kali na muwasho, hiyo huwa ni ishara ya ugonjwa uitwao wa kutokwa uchafu ukeni ujulikanao kwa kitaalamu kama ‘Vaginosis’. Mwanamke mwenye tatizo hili hujisikia vibaya na anaweza akaacha kushiriki tendo la ndoa ama kwa kuhofia maumivu au kwa kuona aibu kwani mwanaume ni vigumu kuvumilia harufu hiyo au hata kuuona tu huo ute ute kwani humjengea hisia kwamba mwenza wake atakuwa na magonjwa ya zinaa au si mwaminifu kwa ujumla. Kinachosababisha kutokwa na uchafu ukeni: • Kuwa na wapenzi wengi • Baadhi ya dawa za uzazi wa mpango • Kusafisha uke kwa kutumia dawa zenye kemikali • Uchafu • Uvutaji sigara • Pombe • Maambukizi ya Bakteria au bakteria wabaya wanapozidi ukeni Dalili: • Kutokwa na uchafu us...

FAIDA ZA MAZIWA YA SOYA MWILINI

DONDOO ZA AFYA........!!!! MAAJABU YA SOYA MWILINI. MAAJABU YA SOYA MWILINI. Soya ni zao la jamii ya mikunde lenye aina nyingi za matumizi; ni zao linalofaa kwa chakula cha binadamu na wanyama na pia ni zao la biashara. Zao hilo lina kiasi kingi cha protini yenye ubora wa hali ya juu kuliko kiasi kilichopo katika aina nyingine ya mazao ya mimea.ZK  taasisi inayojishughuliza na uzalishaji wa bidhaa za vyakula lishe na mimea na matunda, vinavyoweza kutiba magonjwa mbalimbali wamezalisha maziwa ya Soya ambayo yana  kiasi cha protini inayozidi hata kiasi cha protini katika nyama, mayai na maziwa. Hii inamaanisha kuwa maziwa ya soya ni chanzo rahisi na cha bei nafuu cha protini hasa kwa watu wenye kipato kidogo ambao hawawezi kumudu gharama za vyanzo vingine vya protini kama nyama, maziwa na samaki. Aidha, maziwa ya soya yanaa mafuta bora yasiyo kuwa na lehemu (cholesterol). Uwingi na ubora wa protini katika maziwa ya soya yanaweza kuondoa utapiamlo hususani kwa watoto na kuwao...

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...