Skip to main content

KIJANA MHITIMU WA CHUO WA MIAKA 22 AMLAWITI MSICHANA WA MIAKA 11 NIGERIA


Kijana wa miaka 22 na mhitimu wa chuo cha Abia State Nigeria faculty ya Historia alikamatwa Jana mchana akiwa anambaka msichana wa miaka 10.

Kijana huyu kabla hajafanya kitendo hicho, mnamo mda wa saa 8 mchana alipita nyumbani kwa baba yake na kumsalimia na kuulizia kuhusu biashara za baba yake zinaendaje, kisha akaondoka kuelekea kwake, kabla hajafika kwake alipita nyumbani kwa msichana yule aliyebakwa na kumsalimia...........

Baba wa kijana huyu ni Fundi wa kutengeneza Samani za ndani.

Kijana huyu alimwambia msichana yule kuwa amemnunulia kandambili mpya kisha akamwambia waende wote chumbani kwake ili akampatie, na walipofika hakumpatia kqnfambili hizo alianza kumshikashika msichana yule kwenye mwili wake na kisha kuanza kumlazimisha kufanya tendo la ngono bila ridhaa yake.

Mtuhumiwa alikamatwa na vijana majirani zake waliosikia kelele za msichana yule.

Kijana huyu wa miaka 22 akithibitisha kufanya kitendo hicho kiovu alisema ni kweli alimbaka msichana yule. Katika upelelezi iligundulika kuwa hata hizo kandambili zilikuwa za dada yake mwenye umri wa miaka 18.

Baba wa kijana huyu alipohojiwa alisema alikuwa nyumbani kisha akapigiwa simu ya ghafla na kuambiwa kuwa kijana wake amemlawiti msichana wa miaka 10 huko chuoni Abia State huku akilalamika kuwa sio yeye aliyefanya kitendo hicho ila ni shetani tu ndie aliyemsukuma na kufanya kitendo hicho.

Endelea kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Facebook Reuben Paul
Twitter Reuben Paul
Instagram reuben_tv au Reuben.com
YouTube Reuben Tv

Comments

Popular posts from this blog

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

Ndege ya Ukraine yaanguka Iran ikiwa na abiria 180, Abiria wote wafariki

Ndege ya Ukraine aina ya Boeing-737 iliyokuwa na abiria 180 imeanguka Iran, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Watoa huduma wa msalaba mwekundu wa Iran wanasema kuwa hakuna dalili yeyote kama kuna mtu aliyepona katika ajali hiyo. Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la kimataifa la ndege la Ukraine ilianguka muda mfupi baada ya kuanza safari katika uwanja wa ndege wa Imam Khomeini mjini Tehran. Ripoti za awali zinadai kuwa ndege hiyo ilikuwa safarini kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv.  Haijabainika ikiwa ajali hiyo ina uhusiano wowote na mzozo wa Iran-na Marekani. Kikosi cha uokoaji tayari kimetumwa katika eneo la tukio karibu na uwanja wa ndege, eneo ambalo ndege lilianguka. Credit: GettyImage " Ndege imeshika moto na tumetuma kikosi huko ... ," kiongozi wa huduma za dharura Pirhossein Koulivand,ameviambia vyombo vya habari ambapo Reuters imeripoti. Je tutegemee machafuko zaidi kutokea? Endelea kuwa pamoja nasi bega kwa bega, mshirikishe na mwenz...