Skip to main content

Maajabu ya kitunguu Saumu

Pengine ulikuwa hujawahi kujua kama hapa duniani tulikabidhiwa mimea tuitunze lakini katika mimea tuweze kupata chakula, sasa leo napenda nikupe dondoo kuhusu na maajabu ya kutumia kitunguu saumu, karibu sana.

Sasa anza kuyafahamu maajabu ya vitunguu saumu.

  • Hutumika kama dawa pale inapotokea kuna mtu ana msongo mkali sana wa mawazo akikitumia tu kitunguu saumu basi ataanza kurejesha furaha na amani yake kwa huamsha hisia za kufurahi na watu wengine.
  • Lakini pia hutumika kutibu magonjwa mengi kwa kiasi kikubwa na kwa mda kidogo huwezi ukalinganisha na vidonge vinachukua mda mrefu sana na huwa vinaacha sumu mwilini baada ya matumizi.
  • Hurudisha hali ya awali kwa mtu ambaye alikuwa na homa anapata nafuu kwa haraka na baadae kupona kabisa.
  • Husaidia kazi kwenye Ini na kuongeza kinga ya mwili. Kitunguu saumu husaidia Ini katika kazi zake za kila siku za usafishaji wa damu na hivyo basi huongeza kinga ya mwili zaidi na nguvu zaidi katika mfumo huo wa kupambana na bakteria na virusi mbalimbali.
  • Lakini pia hutumika kama kiungo cha kuongeza radha kwenye vyakula vyetu, unashauriwa utumie kitunguu Saumu kila siku kila mlo. 

😑🌹⭐⭐⭐⭐⭐ Angalizo Usitumie hiki kitunguu ukiwa na njaa sana alafu ukakichanganya na asali inakuwa sumu kali sana baada ya mda mfupi.

Asanteni wote, karibuni tena somo linalofuata usikose!

     ©ReubenHabariTz
                  April,  2017

Comments

Popular posts from this blog

DAWA YA ASILI NA USAFI KWA WANAWAKE NI MUHIMU

Dawa ya Uchafu Ukeni Kwa kawaida mwanamke hutokwa na majimaji mepesi (vaginal fluids) yenye rangi nyeupe au ya njano. Inapotokea anatokwa na majimaji yenye ute mzito wenye rangi nyeupe au kahawia na yanatoa harufu kali na muwasho, hiyo huwa ni ishara ya ugonjwa uitwao wa kutokwa uchafu ukeni ujulikanao kwa kitaalamu kama ‘Vaginosis’. Mwanamke mwenye tatizo hili hujisikia vibaya na anaweza akaacha kushiriki tendo la ndoa ama kwa kuhofia maumivu au kwa kuona aibu kwani mwanaume ni vigumu kuvumilia harufu hiyo au hata kuuona tu huo ute ute kwani humjengea hisia kwamba mwenza wake atakuwa na magonjwa ya zinaa au si mwaminifu kwa ujumla. Kinachosababisha kutokwa na uchafu ukeni: • Kuwa na wapenzi wengi • Baadhi ya dawa za uzazi wa mpango • Kusafisha uke kwa kutumia dawa zenye kemikali • Uchafu • Uvutaji sigara • Pombe • Maambukizi ya Bakteria au bakteria wabaya wanapozidi ukeni Dalili: • Kutokwa na uchafu us...

FAIDA ZA MAZIWA YA SOYA MWILINI

DONDOO ZA AFYA........!!!! MAAJABU YA SOYA MWILINI. MAAJABU YA SOYA MWILINI. Soya ni zao la jamii ya mikunde lenye aina nyingi za matumizi; ni zao linalofaa kwa chakula cha binadamu na wanyama na pia ni zao la biashara. Zao hilo lina kiasi kingi cha protini yenye ubora wa hali ya juu kuliko kiasi kilichopo katika aina nyingine ya mazao ya mimea.ZK  taasisi inayojishughuliza na uzalishaji wa bidhaa za vyakula lishe na mimea na matunda, vinavyoweza kutiba magonjwa mbalimbali wamezalisha maziwa ya Soya ambayo yana  kiasi cha protini inayozidi hata kiasi cha protini katika nyama, mayai na maziwa. Hii inamaanisha kuwa maziwa ya soya ni chanzo rahisi na cha bei nafuu cha protini hasa kwa watu wenye kipato kidogo ambao hawawezi kumudu gharama za vyanzo vingine vya protini kama nyama, maziwa na samaki. Aidha, maziwa ya soya yanaa mafuta bora yasiyo kuwa na lehemu (cholesterol). Uwingi na ubora wa protini katika maziwa ya soya yanaweza kuondoa utapiamlo hususani kwa watoto na kuwao...

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...