Skip to main content

Diwani na Msanii Baba Levo Ampiga Daktari Kisa Vibarua

MSANII BABA REVO AMBAYE NI DIWANI AMPIGA DAKTARI KISA KUCHELEWA KUWALIPA VIBARUA
Diwani wa Kata ya Mwanga Kaskazini  Mkoani Kigoma Revokatus Kipando maarufu kwa jina la Baba Levo amemdhalilisha kwa kumpiga Dk. wa Zahanati ya  Msufini iliyoko mkoani kigoma   kwa kosa la kuchelewesha kuwalipa vibarua waliokua wanafanya ukarabati katika zahanati  hiyo.

Daktari huyo ambaye hakutaka jina lake litajwe alisema diwani alifika nakuanza kumdhalilisha na kumkashifu kwa kuchelewesha kuwalipa wafanyakazi hao  mbele ya wagonjwa  na kusababisha wagojwa kuondoka pasipo kutibiwa.

“Amefika  hapa kwa kufoka, kunitukana , kufanya vurugu ofisini na kanipiga, kisa pesa zilizo nje ya uwezo wangu ambazo zilikua na utaratibu za kufuatiliwa lakini hataki kufuata taratibu za kazi amehatalisha amani ya maisha yangu  na hii siyo mara ya kwanza na yuko kinyume cha sheria,” alisema Daktari huyo.

Kwa mjibu wa mashuhuda wa tukio hilo akiwemo  Muuguzi wa Hospitali wa zamu  ambaye jina lake limehifadhiwa  alisema Diwani huyo malufu kama baba   alifika katika zahanati hiyo  na kuanza  kumfokea  Daktari huyo kisha kumpiga.

 Kwa  upande wake Diwani huyo wa Mwanga Kasikazini  maarufu kama Baba Levo amekana kufanya kitendo hicho cha udhalilishaji kwa Daktari  mpaka sasa Jshi la Polisi mkoani Kigoma linamsaka mtuhumiwa huyo ili kujibu mashitaka yanayo mkabili.

Comments

Popular posts from this blog

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi...

FAIDA ZA MAZIWA YA SOYA MWILINI

DONDOO ZA AFYA........!!!! MAAJABU YA SOYA MWILINI. MAAJABU YA SOYA MWILINI. Soya ni zao la jamii ya mikunde lenye aina nyingi za matumizi; ni zao linalofaa kwa chakula cha binadamu na wanyama na pia ni zao la biashara. Zao hilo lina kiasi kingi cha protini yenye ubora wa hali ya juu kuliko kiasi kilichopo katika aina nyingine ya mazao ya mimea.ZK  taasisi inayojishughuliza na uzalishaji wa bidhaa za vyakula lishe na mimea na matunda, vinavyoweza kutiba magonjwa mbalimbali wamezalisha maziwa ya Soya ambayo yana  kiasi cha protini inayozidi hata kiasi cha protini katika nyama, mayai na maziwa. Hii inamaanisha kuwa maziwa ya soya ni chanzo rahisi na cha bei nafuu cha protini hasa kwa watu wenye kipato kidogo ambao hawawezi kumudu gharama za vyanzo vingine vya protini kama nyama, maziwa na samaki. Aidha, maziwa ya soya yanaa mafuta bora yasiyo kuwa na lehemu (cholesterol). Uwingi na ubora wa protini katika maziwa ya soya yanaweza kuondoa utapiamlo hususani kwa watoto na kuwao...

Supplements During Pregnancy: What’s Safe and What’s Not

AUTHORITY NUTRITION Evidence Based Supplements During Pregnancy: What’s Safe and What’s Not Pregnancy can be one of the most exciting and happy experiences in a woman’s life. However, it can also be a confusing and overwhelming time for some mothers-to-be. The internet, magazines and advertisements flood women with advice on how to stay healthy during pregnancy. While most women know that high-mercury seafood, alcohol and cigarettes are off-limits during pregnancy, many are unaware that some vitamins, minerals and herbal supplements should be avoided as well. Information on which supplements are safe and which aren’t often varies between sources, making things more complicated. This article breaks down which supplements are believed to be safe to take during pregnancy and explains why some supplements must be avoided. Why Take Supplements During Pregnancy? Consuming the right nutrients is important at every stage of life, but it’s especially crit...