Skip to main content

Posts

WORLD NEWS

VITA VYA WAASI BADO GUMZO, NIGERIA

Recent posts

Marekani iko 'tayari kufanya mazungumzo' na Iran

aza habari hii Facebook   ambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha EPA Marekani imesema iko "tayari kujadiliana na Iran bila masharti" baada uhasama uliozuka baina ya nchi hizo kufuatia mauaji ya jenerali Qasim Soleimani. Katika waraka wake kwa Umoja wa Mataifa, Marekani ilijitetea kuwa ilimuua jenerali wa jeshi la Iran Qasem Soleimani kama hatua ya kujilinda.  Iran ilijibu hatua hiyo kwa kushambulia kwa makombora kambi ya majeshi ya Marekani nchini Iraq japo hakuna mtu aliyejeruhiwa. Jenerali Soleimani ilichukuliwa kuwa afisa wa pili wa ngazi ya juu nchini Iran. Iran yashambulia kwa makombora kambi za kijeshi za Marekani nchini Iraq Gharama za mafuta zapanda baada ya mashambulizi Iraq Kama mkuu wa kikosi maalum cha Quds Force, katika jeshi la ulinzi la Revolutionary Guards' alilikuwa mtekelezaji wasera za Iran katika eneo la mashariki ya kati. Kiongozi

Ndege ya Ukraine yaanguka Iran ikiwa na abiria 180, Abiria wote wafariki

Ndege ya Ukraine aina ya Boeing-737 iliyokuwa na abiria 180 imeanguka Iran, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Watoa huduma wa msalaba mwekundu wa Iran wanasema kuwa hakuna dalili yeyote kama kuna mtu aliyepona katika ajali hiyo. Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la kimataifa la ndege la Ukraine ilianguka muda mfupi baada ya kuanza safari katika uwanja wa ndege wa Imam Khomeini mjini Tehran. Ripoti za awali zinadai kuwa ndege hiyo ilikuwa safarini kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv.  Haijabainika ikiwa ajali hiyo ina uhusiano wowote na mzozo wa Iran-na Marekani. Kikosi cha uokoaji tayari kimetumwa katika eneo la tukio karibu na uwanja wa ndege, eneo ambalo ndege lilianguka. Credit: GettyImage " Ndege imeshika moto na tumetuma kikosi huko ... ," kiongozi wa huduma za dharura Pirhossein Koulivand,ameviambia vyombo vya habari ambapo Reuters imeripoti. Je tutegemee machafuko zaidi kutokea? Endelea kuwa pamoja nasi bega kwa bega, mshirikishe na mwenz

Alikiba na Studio Mpya

Kwa mara ya kwanza mwimbaji Alikiba amezungumzia studio yake mpya baada ya kupost picha za muonekano wake. “Studio yangu mara nyingi napenda kufanya kazi na Producers tofauti, nawaalika na Producers wakubwa wanakuja tunafanya nao kazi vilevile kuna Producers tupo nao ni wachanga, nitasema lini zitaanza kufanya kazi ila bado tunafanya kazi, ni kwaajili ya King’s Music, Tutawapa updates baadae kama ni studio za video au audio tu”

The court system during colonialism in Tanzania.

Introduction. Pre-colonial Period Administration of justice during this time depended heavily on the social economic and political organization of the society in Tanganyika. Two systems of administration of justice namely; The Centralized and the Non-Centralized systems could be identified at the time. The Centralized Systems was applicable to societies with chiefs who played both roles of adjudicators and that of governors. In the Non-Centralized systems the entire community took part in the adjudication of disputes. However in both systems there were no formalization of procedure in adjudication, the customs of the respective societies prevailed in the process. Colonial Period The German Colonial Period. The Land currently covering Tanzania Main Land, was then included in what was called the German East Africa, it was subjected to the German Colonial Rule from 1886 up to the end of the First Ward War, 1918. During this Germany Colonial Rule the Administration of Justi

Sheria ya kusajili blog yafutwa na Mahakama Kuu Kenya

Mahakama nchini kenya imetupilia mbali sheria mpya ya mitandao ya kutaka vyombo vya habari vya mitandao zikiemo blog kusajiliwa. Chama cha Wanablogu wa Kenya (BAKE) na Umoja wa Kenya wa Waandishi wa Habari (KUJ) kwa mafanikio waliomba rufaa kuzuia sheria hiyo   ambayo ilisainiwa  na Rais Uhuru Kenyatta wiki mbili zilizopita Jumanne, hakimu wa mahakama ya juu Chacha Mwita aliorodhesha vipengele 26 vya sheria hiyo   ambavyo vitaathiri haki na uhuru wa msingi wa kujieleza.  Mkurugenzi wa BAKE James Wamathai alisema: "vipengele hivi vinatakiwa kudhibiti habari za uwongo lakini kwa bahati mbaya hiyo ni kinyume na katiba ... kuna sheria zilizopo za kukabiliana na kesi wakati mtu amelala, hatuhitaji hili." Nchi nyingine za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania   zimepitisha sheria ambazo wanaharakati wanalalamika kuzuia uhuru wa kujieleza. Mnamo Aprili, Uganda ilitangaza mipango ya kutoza kodi watumiaji wa vyombo vya habari vya mitandaoni.

Babu Tale Anakabiliwa na Kesi ya Madai ya Mil 250

Mkurugenzi wa Tip Top Connection Hamis Taletale a.k.a Babu Tale ameachiwa huru toka Kituo Kikuu cha Polisi DSM. Tale anakabiliwa na kesi ya madai ya fidia ya shilingi milioni 250 baada ya kushtakiwa kwa kosa la kutumia kazi ya Mhadhiri Sheikh Hashim Mbonde bila ridhaa yake. Kwa habari nyingine bonyeza hapa !